brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Baada ya Rais wa Simba Evans Aveva kuagiza benchi la ufundi kuakikisha wanashinda mechi zote zilizobakia , maagizo haya yanaanza kufanyiwa kazi leo baada ya vijana wa msimbazi kuahidi soka safi na ushindi mnono dhidi ya vijana wa Masau bwire, simba itaongozwa na vijana wake hatari, emanuel okwi, ibrahim ajibu, na ramadhani singano.
Azam fc itakuwa jijini tanga kwenye uwanja wa mkwakwani kutafuta points 3 muhimu ili kuzidi kuifukuzia yanga yenye points 37 uku wao wakiwa na points 33, mechi inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua.
Mechi zote zitaanza mida ya saa 10 kamili jioni.
=======================
=======================
Matokeo ya Mwisho:
Coastal Union 0 - 1 Azam
Simba 3 - 0 JKT Ruvu
Azam fc itakuwa jijini tanga kwenye uwanja wa mkwakwani kutafuta points 3 muhimu ili kuzidi kuifukuzia yanga yenye points 37 uku wao wakiwa na points 33, mechi inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua.
Mechi zote zitaanza mida ya saa 10 kamili jioni.
=======================
=======================
Matokeo ya Mwisho:
Coastal Union 0 - 1 Azam
Simba 3 - 0 JKT Ruvu