Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Phiri alipewa mechi tatu na afikishe point 7,alishinda JKT Ruvu,leo amepoteza...kwa hiyo hata akishinda mechi ijayo bado hatafikisha point 7......Haya uongozi wa Simba tunasubiri utekelezaji wa kauli zenu.
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Phiri alipewa mechi tatu na afikishe point 7,alishinda JKT Ruvu,leo amepoteza...kwa hiyo hata akishinda mechi ijayo bado hatafikisha point 7......Haya uongozi wa Simba tunasubiri utekelezaji wa kauli zenu.
Mtamfukuza tu, mdudu wa sare kafa kaibuka mdudu wa kufungwa. UKAWA wamesema Simba itapoteza mechi 6 mfululizo, bado 5 tu ndipo Aveva atatambua uwepo wao.