VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

uyu kipa wa kagera anapoteza muda hapa
 
Inaumiza sana,mashabiki wa Simba walijaa balaa.SIMBA UKAWA nawakubali hawakati tamaa
 
mpira umesimama hiki kipindi cha 2 nadhani mpira umechezwa dakika 30 tu
 
Ole wenu simba mng'oe viti tena. Kagera go go go mmefungua zawadi kwa vizuri leo.
Hao washapoteza leo, rahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…