Mimi sijaona tecno feki, simu nyingi feki mtaani ni Samsung, Huawei, HTC na nyingine nyingi tu. Hata mitaa ya Posta Dar vijana wengi wanasimama barabarani kuuza simu feki nyingi ni Samsung, sijaona Tecno barabarani.Usidanganyike kununua simu za Tecno.
Kwanza haijulikani hizi simu zinatengenezwa na kampuni za Nchi gani!