Vote Now!!

Vote Now!!

Hapo nisingepiga kura maana nikimpigia mwenye afadhali ambaye ni JK, baadae ataenda kubaka demokrasia kwenye mkutano mkuu wa chama halafu shida kuu itaokota embe chini ya mbuyu.
 
Acha unafiki muda wake umeshapita kwa sasa Rais ni J .P .Magufuli kiboko ya mafisadi na malanguzi na mivivu yote ya kiakili na kimwili fanyeni kazi na asiyefanya kazi na asile Hata kwenye Biblia Takatifu imeandikwa .
Siku akiwashughulikha mmojawapo kati ya Lowasa, Chenge, Tibaijuka na yule aliyeuza nyumba za serikali nitakubaliana nawe.
 
Kama ni kwenye chama chao ili apambane na UKAWA ntachagua huyu wa sasa kusudi tutusue kwa kishindo KIZITO
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.

Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
 
huyu kaleta mateso kwanjia ya ukata wa fedha na unusu mungu asiyekosolewa yule alileta udini,kaingiza ugaidi nchini na kejeli za kidini kwa dini nyingine mijadala ya mahakama za kidini ingawa ilkosolewa akitaka dini moja itawale nchi kwa gharama za kodi za wa lipa kodi wa dini zote,wote ni hatari sana,huyu kaleta mateso kwa dhahili kwa kujificha katika joho la mcha mungu na maombezi amapo atahukumiwa kama mfalme nebokadreza soma ripoti hii katika kitabu cha Daniel5:17-21,yule aliyetangulia, alileta mateso kwa wote waliomchagua kwa njia ya sumu iliyotiwa sukari,wote wakawatawala nyumbu wasiojua kupambanua tofauti kati ya amani na hatari,uzima na mauti,laana na baraka,kupatwa kwajua na tetemeko hata wakishuhudia mwenzao anauawa mubashara ya dhahiri ,wote hawafai kwakuwa wote rangi yao ni kijani ileile na lengo lao ni lilelie kuwamaliza nyumbu ,maana nyama ya nyumbu inasemakana nitamu sana kwa wenye KUTAWALA ila chungu sana kwa wenye KUONGOZA,ASILI YAANGU NI MZAYONI,NA YESU NDIYE MUNGU WA WAZAYONI,KOLOSAI2:2,GALATIA 3:26,
ambaye nipo kwenye VITA VYA DAWAMU YA MILELE,TUOMBE SANA MUNGU NYUMBU WA NYIKANI WASIMALIZIKE
JPM, tena ntahakikisha nachakachua mpaka ashinde kwa kishindo kikuu
 
Back
Top Bottom