Habari wakubwa,Mimi ninafani ya IT naomba kuvolunteer post yoyote inayohusiana na system network/ICT,naomba msaada wenu natanguliza shukruni! Namba yangu0788272824 nipo dar es salaam
jamaa anaulizia kuhusu volunteer, dats means ni fresh from university,sasa wewe unataka akuambie kuhusu uzoefu wake mbona hauleweki na pia angekuwa anafanya kazi yoyote inayoendana na profesional yake cdhan kama angekuwa anatafuta hyo volunteer opportunity...Ukisema unafani ya IT una maana gani? Umesoma nini,uzoefu vipi na sasa hivi unafanya nini? Toa maelezo yenye kueleweka.