Wataka kupata kazi ya kuosha choo kwenye kampuni io?
Ziko nenda pale thika kwa assembly Yao uweke order.Nilisikia kwa muda sasa Kampuni ya Volkswagen Group wamejenga assembling plant nchini Kenya, je tayari wameshaanza uzalishaji? Na ni aina gani ya VW wanaunga unga? Na wanauzia wapi?
Nilisikia kwa muda sasa Kampuni ya Volkswagen Group wamejenga assembling plant nchini Kenya, je tayari wameshaanza uzalishaji? Na ni aina gani ya VW wanaunga unga? Na wanauzia wapi?
Asante kwa picha, imekaa kama VW Polo old model, wanaunga magari mangapi kwa siku kwenye hiyo plant? Na ni shilingi ngapi?