Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,965
- 142,255
Hivi kwa nini simu nyingi hapa Tanzania hazina voicemail?
Mtu unapiga simu inaita weeee halafu unaambiwa uliyempigia hapatikani lakini hupewi fursa ya kuacha ujumbe wa sauti!!
Tatizo ni nini hasa? Ni teknolojia kubwa sana ambayo haijafika Tanzania au ni kitu cha gharama sana au ni nini hasa?
For some of us who are so used to leaving voicemails the absence of it is so frustrating!!!
Anybody know what the deal is with it in TZ??
Mtu unapiga simu inaita weeee halafu unaambiwa uliyempigia hapatikani lakini hupewi fursa ya kuacha ujumbe wa sauti!!
Tatizo ni nini hasa? Ni teknolojia kubwa sana ambayo haijafika Tanzania au ni kitu cha gharama sana au ni nini hasa?
For some of us who are so used to leaving voicemails the absence of it is so frustrating!!!
Anybody know what the deal is with it in TZ??