imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Kampuni ya vodacome imetengeneza voucha ya tsh 450/=huku ikifahamu fika kuwa voucha hizi zinauzwa kwa shilling 500/=karibu sehemu kubwa ya Tanzania hususani Dar es salaa huko wauzaji wakidai wanauziwa bei ya mia tano.
VODACOME THINK TWICE THIS IZ NOT RIGHT
VODACOME THINK TWICE THIS IZ NOT RIGHT