Wanajamii tafadhali msaada wenu nauomba nimenyanyasika vya kutosha. Mimi niko Congo Kinshasa nina line ya Voda ya Congo awali nilikuwa natuma sms bongo bila tatizo zinafika. Lakini sasa ni wiki ya pili kila nikituma haziendi lakini jamaa hawa Vodacom Congo wanakula Faranga mia kila ninapotuma. Nikituma sms ndani ya Congo zinakwenda bila tatizo nisaidieni wanajamii niko nchi ya watu.