UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Katika hali ya kushangaza zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuzimwa kwa simu zisizosajiliwa(01/06/2013) imeonekana simu nyingi sana zimesajiliwa usajili wa awal,i na wateja wanatakiwa kwenda kupanga foleni tena ili kukamilisha usajili.
SIMU YANGU NILIISAJILI TANGU MWAKA 2010, LAKINI NIMEANGALIA LEO NAONA NAAMBIWA SIKUKAMILISHA USAJILI.
Je! huu siyo uzembe wao na kutusababishia usumbufu? Na wengi hawajui hili, HEBU NA WEWE MWANA JAMVI ANGALIA SIMU YAKO KWA KUPIGA *106# UONE KAMA UMESAJILIWA AU LA. Ni wengi sana wamekutanana kadhia hii. Kwahili VODACOM mnapaswa kutuomba radhi kwa usumbufu.
SIMU YANGU NILIISAJILI TANGU MWAKA 2010, LAKINI NIMEANGALIA LEO NAONA NAAMBIWA SIKUKAMILISHA USAJILI.
Je! huu siyo uzembe wao na kutusababishia usumbufu? Na wengi hawajui hili, HEBU NA WEWE MWANA JAMVI ANGALIA SIMU YAKO KWA KUPIGA *106# UONE KAMA UMESAJILIWA AU LA. Ni wengi sana wamekutanana kadhia hii. Kwahili VODACOM mnapaswa kutuomba radhi kwa usumbufu.