Vodacom wawaombe radhi wateja wake

Vodacom wawaombe radhi wateja wake

tatizo mnasajilia uchocholoni anayesajili mwenyew hata ofisi hana makaburasha yot anarudi nayo home mar mengin yanapotea
 
Yangu imesajiliwa ila nashangaa ya nyumbani ambayo nilisajili kabisa kila kitu kwa agent eti leo wananiambia bado wakati inatumika over 1 and half years. Hakika wanapaswa kuomba radhi, hawako makin kabisa. Ila wa TIGO nao ni hatari maana majina yangu yote matatu yanekosewa kabisa, naona herufi zimejichanganya tu haziweleweki kabisa. Tatizo la kuajiri cheap labour wakati wa usajili. Tena mbaya zaidi nilisajilia pale Tigo kabisa na meza zao pale na vijana wale nakumbuka.
 
tatizo mnasajilia uchocholoni anayesajili mwenyew hata ofisi hana makaburasha yot anarudi nayo home mar mengin yanapotea

Mkuu nina line ya Tigo nilisajilia pale ofisini kwake na copy ya ID ila jina walivyoingiza database utashangaa, ni kituko kabisa. Are not serious wako kuvuna super profit tu hawa.
 
Kudadeki mi nimecheki artel yangu imesajiliwa kwa jina la demu wakati nilinunua line mpya kabisa nikaichana mwenyewe, huu ni upuuzi
 
usajili wangu umekamilika, na mimi nilisajiri mwanzano kabisa sijasajili tena, kwa hiyo mkuu hilo ni tatizo lako nenda ukakamilishe usajili la sivyo vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Duh! kweli hii ni MAJANGA! Ngoja nilianzishe. Totally UNACCEPTABLE.
 
nangoja wanifungie nami nikawafungulie kesi mahakamani, kama uzembe ni wa kwao na maajenti wao. maajenti wanalipwa, kwanini wasiwabane ili wawape taarifa zetu. sipangi foleni tena kwa uzembe wao...ova
 
Kudadeki mi nimecheki artel yangu imesajiliwa kwa jina la demu wakati nilinunua line mpya kabisa nikaichana mwenyewe, huu ni upuuzi

Kama mimi. Line yangu ya modem ya airtel imesajiliwa kwa jina si langu tena la kiume! Nilinunua na kusajili airtel mlimani city. Sijui wanaexchange vipi
 
Katika hali ya kushangaza zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuzimwa kwa simu zisizosajiliwa(01/06/2013) imeonekana simu nyingi sana zimesajiliwa usajili wa awal,i na wateja wanatakiwa kwenda kupanga foleni tena ili kukamilisha usajili.

SIMU YANGU NILIISAJILI TANGU MWAKA 2010, LAKINI NIMEANGALIA LEO NAONA NAAMBIWA SIKUKAMILISHA USAJILI.
Je! huu siyo uzembe wao na kutusababishia usumbufu? Na wengi hawajui hili, HEBU NA WEWE MWANA JAMVI ANGALIA SIMU YAKO KWA KUPIGA *106# UONE KAMA UMESAJILIWA AU LA. Ni wengi sana wamekutanana kadhia hii. Kwahili VODACOM mnapaswa kutuomba radhi kwa usumbufu.
Mimi nawashauri Voda kama wanataka Salama yao wanatakiwa kukamilisha wao wenyewe usajili uliobaki maana waliweka watu wao katika ofisi Mbovu na hawakuwalipa pesa zao na hivyo mafaili hayakulejeshwa kwao kama inavyotakiwa.

Tuliwapatia kila kitu na wakakusanya makalablasha yote sasa kwa uzembe wao wamepoteza!!
Sasa kama usajili wa awali umekamilia ni kwa nini hawakukamilisha usajili wote???

Tumesajili simu hadi tunatuma M pesa lakini leo wanasema usajili haujakamilika!!!
Mimi nimeshangaa sana hata simu za hao waliotumwa kusajili simu nao wana ambiwa usajili haujakamilika ,hivi hamuoni kituka hapo??
 
nangoja wanifungie nami nikawafungulie kesi mahakamani, kama uzembe ni wa kwao na maajenti wao. maajenti wanalipwa, kwanini wasiwabane ili wawape taarifa zetu. sipangi foleni tena kwa uzembe wao...ova

Leo Asubuhi walifunga baadhi ya simu lakini wakazifungua Mimi nilipanga kuhama kabisa mtandao wa VODA na kuingia mwingine huu ni utapeli mkubwa!!!
 
leo voda wamenikera sana dk zangu 720 za cheka zimeisha ivi ivi
 
usajili wangu umekamilika, na mimi nilisajiri mwanzano kabisa sijasajili tena, kwa hiyo mkuu hilo ni tatizo lako nenda ukakamilishe usajili la sivyo vigezo na masharti kuzingatiwa

Nakusamehe kwa kuwa hujui unachosema, utakapojua hutasema hivyo...
 
ni uzembe wao voda na mawakala wao, agents walilipwa na kampuni ya voda, iweje washindwe kupeleka docs zetu kama customers? wacha wablock line yangu niwadai fidia, siendi ng'o kufanya usajili tena. upuuzi huu.... ova
 
Kudadeki mi nimecheki artel yangu imesajiliwa kwa jina la demu wakati nilinunua line mpya kabisa nikaichana mwenyewe, huu ni upuuzi
mimi pia yamenikuta,nimesajili Tigo,kuja kuangalia jina la demu,na nimempa mpaka leseni yangu ya udereva,aandike kutoka humo.
 
Back
Top Bottom