Vodacom wapandisha bei ya vifurushi

Vodacom wapandisha bei ya vifurushi

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,023
Reaction score
13,370
Sasa ndo nini hii wakuu.
Hebu cheki

Tuhamie Wapi??
 

Attachments

  • 1444223130022.jpg
    1444223130022.jpg
    25.5 KB · Views: 2,522
  • 1444223150869.jpg
    1444223150869.jpg
    18.5 KB · Views: 1,787
mimi ni mteja wa vodacom tangu mwaka 2000 ila sasa kadiri muda unavyokwenda nazidi kuwachoka yani ni sawa na mpenzi asiyekutaka ila hasemi wanaishia kufanya visa kila siku, hivi sasa nimewaandalia demage kwenye mpawa na laini yao naitupa.
 
Mkurugenzi Mkuu ni dogo mmoja anakesha Club kila siku unategemea nini?
 
kuanzia kesho

500 dk 14 sms 50 mb 1
650 dk 20 sms 100 mb 3
1000 dk 50 sms 200 mb 8
zingine tembelea tovuti yao.

hapo kwenye mb 1 na 3 si wangeacha tu make hata nane zenyewe zilikua chache sana.
 
kuanzia kesho

500 dk 14 sms 50 mb 1
650 dk 20 sms 100 mb 3
1000 dk 50 sms 200 mb 8
zingine tembelea tovuti yao.

Hapo kwenye mb 1 na 3 si wangeacha tu make hata nane zenyewe zilikua chache sana.

voda wehu
 
Sema tatizo Lao wanaambizana utakuta mitandao yote ni hivohivo. Aisee mbona nitauza smartphone.
 
kuanzia kesho

500 dk 14 sms 50 mb 1
650 dk 20 sms 100 mb 3
1000 dk 50 sms 200 mb 8
zingine tembelea tovuti yao.

hapo kwenye mb 1 na 3 si wangeacha tu make hata nane zenyewe zilikua chache sana.

wanahangaika baada ya kuona matokeo hasi na mtu wao wtz hawamtaki, wanajaribu kufidia kwi kwi kwiiiiiii
 
Habari ndugu zanguni!

Hali ya kimaisha upande wa mawasiliano yazidi kuwa ngumu. Leo napokea ujumbe toka vodacom kwenye simu yangu, wanadai kuanzia kesho 08,October 2015 vifurushi vitabadilika na kupungua kabisa kutoka 8MB mpaka 1MB kwa siku, pia kutoka 60MB mpaka 30MB kwa wiki na vingine vyote, halikadhalika upande wa SMS na DAKIKA.

Kwa style hii maisha yanazidi kuwa heavy, TCRA mpo? Government je? Tuachane na push-up kidogo tulizungumzie hili.
SOURCE: Text from vodacom tanzania na website ya vodacom pia.

Mtupe sababu ya punguzo hili. Navyohisi hata siku zijazo charge ya transaction ya mpesa itapanda tu kimya kimya au hata riba ya mikopo itapanda duuuu.....
 
Nadhani uchaguzi ndo umetufikisha hapa.
 
Nadhan hakuna wakulalamikiwa zaidi ya CCM.

UKIONA PANYA AMEKULA NGUO ZAKO NDANI tatizo jua ni CCM, maana kama ingekuwa imeboresha maisha Yetu tusingeishi na PANYA nyumbani.

kila kitu KIBAYA NI UONGOZI MBAYA WA CCM MAANA NCHI HII BADALA YA KWENDA MBELE INARUDI NYUMBA fananisha Tanzania ya NYERERE na hii ya VASCO DA GAMA
 
Hahahahaaaa ila hawa wajinga wana tabia ya kuigana.
Wiki haiishi airtel na tiGo watafanya hivyohivyo.
Lakini wewe Deo Corleone si hutaki mabadiliko?
Hiyo ndio dawa yenu,na bado.

Mimi mabadiliko naamini John atayaleta.

Ila udiwani na ubunge ukawa wanapata bila shida.
Kila nikifikiria kumchagua white hair, moyo unanisuta!!
Nilimponda mno alivyokua kule kijani na njano
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom