Vodacom waache wizi

Vodacom waache wizi

Pragmatist

Member
Joined
Sep 21, 2012
Posts
18
Reaction score
1
Nilijiunga na SUPA CHEKA ya VODACOM kwa kulipa Shs. 400. Nilipewa dakika 15 za maongezi, SMS 100 na MB 50 za intaneti. Ajabu ni kuwa baada ya kutuma SMS 28 nililetewa meseji na VODACOM kuwa SMS 100 nilizopewa zimeisha! Nilinunua SUPA CHEKA tena na nilipotuma SMS 17 nikaambiwa SMS 100 zimeisha! Huu si wizi? VODACOM wasiwafanye Watanzania ni mbumbumbu. Waheshimu kile wanachokitangaza kwa wateja wao.
 
Yaani matangazo mengi ya kampuni karibu zote za simu yana usanii mwingi sana ndani yake.
 
Acha uongo wewe, weka namba yako tuwaulize, fuata masharti ya cheka, angalia inaisha saa ngapi, I have been using it na wala sipati ilo tatizo, unajua msg moja ni maneno yasiyozidi 160? kama ww unaandika mkjibarua inakua break down to sms za 160 words na kutumwa kama msg tofauti, I dare you hujui usemalo
 
Kama unaandika sms ndevu kama barua unategemea nini!!
 
Analosema Pragmatist linawezekana ni la kweli. Kwanini mnabisha wakati ndiye aliyeleta lalamiko? Au kwa kuwa hayajawatokea? Haya makampuni ya simu kwa ujumla wake yajirebebishe sasa!
 
Last edited by a moderator:
mim juzi niliwapgia 100 cust.service,hawakurespond. Nilituma text kama hyo Kwamba waache Wizi kupitia namba hyo.Ni wezi.Anachosema mkuu ni kweli.Watakuwa wameanza nahisi.Tutakuwa hatjiiungi na cheka sasa.
 
Nilijiunga na SUPA CHEKA ya VODACOM kwa kulipa Shs. 400. Nilipewa dakika 15 za maongezi, SMS 100 na MB 50 za intaneti. Ajabu ni kuwa baada ya kutuma SMS 28 nililetewa meseji na VODACOM kuwa SMS 100 nilizopewa zimeisha! Nilinunua SUPA CHEKA tena na nilipotuma SMS 17 nikaambiwa SMS 100 zimeisha! Huu si wizi? VODACOM wasiwafanye Watanzania ni mbumbumbu. Waheshimu kile wanachokitangaza kwa wateja wao.


wacheki kwenye twitter watakuangalizia nini tatizo kwako.
Ila mimi natumia daily--No Problemo
@vodacomTanzania

[h=2]@VodacomTanzania[/h]
 
Huo ndo ukweli. MImi ninaona hata tigo wana mchezo huo. Sometimes wateja tunaaaminishwa mambo lakini utekelezaji una walakini.
Analosema Pragmatist linawezekana ni la kweli. Kwanini mnabisha wakati ndiye aliyeleta lalamiko? Au kwa kuwa hayajawatokea? Haya makampuni ya simu kwa ujumla wake yajirebebishe sasa!
 
Mimi nilijiunga na na internet nikalipia kifurusho cha 10000 uwezi kuamini sikudownload lakini hakuna salio nikiweka modem inaunganisha lakini siwezi kubrowse nikiweka hata mb 50 inakubali sasa nini huo kama siyo wizi??wezi hao shnz zao
 
Vodacom ni kweli, Kazi ni kwako. Unaweza kununua kifurushi cha 50MB na usiambulie ku-download hata 5MB kwenye simu yako, yani ni Ovyo tu...! Labda sielewi, inawezekana baadhi ya Maeneo kuna tatizo hili, ukiangalia network yao ipo full na unaweza kuongea bila matatizo, lakini ukija kwenye net, ni hasara tu.
 
Tatizo hapa si Vodacom kuwa wezi ila mleta uzi hapa ndo hajui vigezo na masharti yanazingatiwa. Yapo mambo mengi sana, kama simu yako ina virus ina maana mesagi zitakuwa zinajiduplicate. Hata huyo aliyesema internet ilisha kabla ya kutumia, je kama anti virus zilikuwa on?

Jamani digital kweli tutaiweza kama mambo madogo tu ya simu ni ishu? No research no right to speak.
 
Nilijiunga na SUPA CHEKA ya VODACOM kwa kulipa Shs. 400. Nilipewa dakika 15 za maongezi, SMS 100 na MB 50 za intaneti. Ajabu ni kuwa baada ya kutuma SMS 28 nililetewa meseji na VODACOM kuwa SMS 100 nilizopewa zimeisha! Nilinunua SUPA CHEKA tena na nilipotuma SMS 17 nikaambiwa SMS 100 zimeisha! Huu si wizi? VODACOM wasiwafanye Watanzania ni mbumbumbu. Waheshimu kile wanachokitangaza kwa wateja wao.

bora wewe me huwa nikinunua may be vocha ya buku moja na kujiunga na cheka ya mia nne baadae nikija kuangalia salio wanakuwa wamekomba hata hiyo mia sita iliyosalia na nikiangalia salio unakuta bado nina mb za kutosha tu.nachofanya ck hizi nikijiunga napiga simu hovyo hovyo tu hadi dak na salio vyote viishe ndo naanza kusurf!!damn u voda
 
Ni kweli kuna utapeli siku hizi kwenye hii mitandao.Sijui kama unafanywa na makampuni menyewe au watu wengine wakitumia technologiaku access kwenye account za wateja wa hizo kampuni na kuwaibia. Hata mimi jana yalinipata:niliweka vocha ya shs 3000 ya Voda. Nikanunua supacheka ya shs 400 yaani dakika15 za maongezi. Nikapiga simu na kuongea kwa dakika 16 na sekunde 27. Sikupokeamesseji yo yote toka Voda kunijulisha kuwa nimemaliza kifurushi changu chadakika 15 lakini nilipoangalia salio la vocha ile ya shs 3000 ilionyesha 0,yaani zote zimekombwa na hiyo supa cheka. Ama kweli ni supa cheka kwa wengineni super cry. Nilijaribu kupiga No 100 kuulizia lakini haipatikani. Sheriainasemaje kuhusu wajibu wa haya makampuni ya kulinda akaunti za wateja wao. Hiyo technologia ya supacheka imekuwa imekuwa ndiyo njia nyepesi kwa hawa hayjackers kupitia. Vipi ile Chizi ya Airtel iko salama?
 
Vodacom wameanza wizi wa kuaminiwa, make ni juzi tu wamenibadilishia usajili wa lini yangu badala ya majina nliyo sajilia nilikuta JH na haikupita muda pesa iliyokuwa M-pesa sikuikuta. pili, awali Cheka time ya 400 ilikuwa ni dk30 na sms 100, wakpunguza mpaka dk15 na sms 100 kwa madai kuwa utajiunga kwa siku kadri uwezavyo, jambo ambalo hata sivyo. VODA ACHENI WIZI TUKO MACHO!!!!
 
Nilijiunga na SUPA CHEKA ya VODACOM kwa kulipa Shs. 400. Nilipewa dakika 15 za maongezi, SMS 100 na MB 50 za intaneti. Ajabu ni kuwa baada ya kutuma SMS 28 nililetewa meseji na VODACOM kuwa SMS 100 nilizopewa zimeisha! Nilinunua SUPA CHEKA tena na nilipotuma SMS 17 nikaambiwa SMS 100 zimeisha! Huu si wizi? VODACOM wasiwafanye Watanzania ni mbumbumbu. Waheshimu kile wanachokitangaza kwa wateja wao.
Mitandao yote wezi watupu. Airtel ndio balaa, unaambiwa kunitumia SMS 10 unapata 200 za bure, ukituma SMS 10, unaambiwa zimebaki 190, ukituma nyingine 2 unaambiwa zimebaki 170. Mwisho wa Siku unnatural SMS 20 unaambiwa SMS 200 zimeisha. Wiki mtupu
 
Hamia tiGO tupate stress wote

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom