Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
Kwenye simu yako pigaWadau naomba nijuzwe hii kadi ya MasterCard iliyozinduliwa jana inapatikana vipi na kwa masharti na vigezo vipi?
Je naweza hamisha salio kutoka MasterCard to m pesa
Asante mkuu, ubarikiweView attachment 867687
Ndio hapo kwenye kipengele namba Tano, ambapo utapata hii menu
View attachment 867688
Hapo unachagua kipengele namba mbili, Na utapokea salio lako ( within 5seconds). Niamehamisha tzs 2,000 wakati naandika hii msg.
View attachment 867689
View attachment 867690
Shukrani mdau 👏.Kwenye simu yako piga
*150*00#
View attachment 865761
Chagua 4: Lipa kwa Mpesa
View attachment 865763
Chagua 6: M-Pesa Mastercard
View attachment 865765
Hapo fuata maelekezo
Vodacom Tanzania , Elimu kwa uma bado inahitajika sana tena sana, kuhusu hii huduma mpya (M-Pesa mastercard) hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.
Ni hotcake hasa kwa sisi wadau wa kufanya miamala kila siku mtandaoni, Kutuma na kupokea.
Ndio inakubaliinakubali ebay na amazon!?..
Je hiyo M-pesa mastercard unaweza kulipia kama unahitaji chochote kununua online?Kwenye simu yako piga
*150*00#
View attachment 865761
Chagua 4: Lipa kwa Mpesa
View attachment 865763
Chagua 6: M-Pesa Mastercard
View attachment 865765
Hapo fuata maelekezo
Vodacom Tanzania , Elimu kwa uma bado inahitajika sana tena sana, kuhusu hii huduma mpya (M-Pesa mastercard) hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.
Ni hotcake hasa kwa sisi wadau wa kufanya miamala kila siku mtandaoni, Kutuma na kupokea.
Ndio.J
Je hiyo M-pesa mastercard unaweza kulipia kama unahitaji chochote kununua online?
vip kuhusu namba ya kadi unaipataje?Ndio.
Na mara kadhaa sasa nimetumia kufanya miamala.
Hilo ndio lengo kubwa na kuanzishwa huduma hii. Vodacom Tanzania
Mwl vipi kuhusu makato ya kulinda akaunti ni kama zilivyo akaunti za benki?!Ndio.
Na mara kadhaa sasa nimetumia kufanya miamala.
Hilo ndio lengo kubwa na kuanzishwa huduma hii. Vodacom Tanzania
mkuu unatumia hiyo mastercard direct au mpk upitie mfano paypal au..?Ndio.
Na mara kadhaa sasa nimetumia kufanya miamala.
Hilo ndio lengo kubwa na kuanzishwa huduma hii. Vodacom Tanzania
unaitumia directmkuu unatumia hiyo mastercard direct au mpk upitie mfano paypal au..?