Vodacom tz mastercad

Vodacom tz mastercad

Marwa_J_Merengo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
4,511
Reaction score
6,888
Wadau naomba nijuzwe hii kadi ya MasterCard iliyozinduliwa jana inapatikana vipi na kwa masharti na vigezo vipi?

Na pia inaweza kuunganishwa na paypay au skrill?
msaada tafadhari bandugu
 
Wadau naomba nijuzwe hii kadi ya MasterCard iliyozinduliwa jana inapatikana vipi na kwa masharti na vigezo vipi?
Kwenye simu yako piga

*150*00#
1536901915423.png

Chagua 4: Lipa kwa Mpesa
1536901959756.png

Chagua 6: M-Pesa Mastercard
1536902012758.png

Hapo fuata maelekezo

Vodacom Tanzania , Elimu kwa uma bado inahitajika sana tena sana, kuhusu hii huduma mpya (M-Pesa mastercard) hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.

Ni hotcake hasa kwa sisi wadau wa kufanya miamala kila siku mtandaoni, Kutuma na kupokea.
 
Je naweza hamisha salio kutoka MasterCard to m pesa
 
Kwa sasa inapunguza kazi kwa wale wanaotaka kununua kitu online.
Shida kubwa ni elimu juu ya hii huduma bado haijawafikia wateja walio wengi.
 
Huwezi link na skrill...skrill wanakataa mastercard kwa sasa..labda hapo baadae
 
Mwl.RCT hiyo Voda mastercard inakubali ebay na amazon!?..
Kuna mdau wangu kanambia anaitumia huduma hii Alibaba kutoa vitu China kupitia Singapore then njiwa mpaka Tz.
 
J
Kwenye simu yako piga

*150*00#
View attachment 865761
Chagua 4: Lipa kwa Mpesa
View attachment 865763
Chagua 6: M-Pesa Mastercard
View attachment 865765
Hapo fuata maelekezo

Vodacom Tanzania , Elimu kwa uma bado inahitajika sana tena sana, kuhusu hii huduma mpya (M-Pesa mastercard) hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.

Ni hotcake hasa kwa sisi wadau wa kufanya miamala kila siku mtandaoni, Kutuma na kupokea.
Je hiyo M-pesa mastercard unaweza kulipia kama unahitaji chochote kununua online?
 
Kwa hiyo ni kadi au unapewa no ya kadi,na kama ji kadi zinatolewa wapi? Mtuambie na faida zake
 
Back
Top Bottom