Vodacom Tanzania; Hii jeuri ya kibiashara mnaitoa wapi?

Vodacom Tanzania; Hii jeuri ya kibiashara mnaitoa wapi?

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,938
Reaction score
2,814
Wakuu

Mimi Naomba Niweke Kando Vuguvugu Hili La Siasa Nizungumze Na Maslah Ya Watu Na Taifa Kwa Ujumla Wake

Jamani Hii Kampuni Ya Vodacom Ni Kampuni Kubwa Ina Wateja Takrban 9mls Nchini

Lakini Cha Ajabu Wanafanya Biashara Ya Ukiritimba Kupita Kiasi Jana Niliunga Kifurushi Cha Mia Tano Nikapata Dk.15 Leo Naunga Kifurush Hichohicho Napata Dk.14 Wamepandisha Bei Lini Wamemtaarifu Nani Na Ni Nani Yuko Nyuma Yao
 
vodacom magumashi kweli, walipunguza MB zikawa name. Leo Hii wameshusha mpaka MB moja.
 
TCRA wapo na wanaangalia tu. EWURA wana regulate bei ya mafuta na SUMATRA wana regulate nauli lakini kwenye mawasiliano TCRA wako kimya wameachia makampuni ya
mawasiliano wafanye wanachopenda.
 
TCRA wapo na wanaangalia tu. EWURA wana regulate bei ya mafuta na SUMATRA wana regulate nauli lakini kwenye mawasiliano TCRA wako kimya wameachia makampuni ya
mawasiliano wafanye wanachopenda.

Mkuu Nchi Hii Ni Ya Ajabu Sana Kila Mtu Anafanya Atakalo Tumekalia Siasa Tu Na Kuangalia Ufisad Wa Wanasiasa Hatujui Tunaibiwa Huku Kwenye Bidhaa Muhimu Kabisa
 
Kuna fursa moja adhimu tarehe 25/ Oct tutumie vizuri ,vinginevyo tujiandae tu kulalamika miaka 5 ijayo
 
Watu wengine mnakera sana, kwani mmelazimishwa au mmeshikiwa bunduki huko voda? airtel omg bundle 1gb ni buku tu kwa masaa 24 na gb 1 kwa wiki moja ni buku 3 tu, bado mmeng'ang'ana na majizi ya vodacom huku yanawang'ong'a na kauli mbiu yao KAZI NI KWAKO.
 
Kuna fursa moja adhimu tarehe 25/ Oct tutumie vizuri ,vinginevyo tujiandae tu kulalamika miaka 5 ijayo

Kwani hiyo compuni si ndio EDO anamiliki % humo pesa za kampeni na sasa anawaandaa mawakala wew unadhani atapata wapi hela kama sio kudokoa kidogokidogo anzia kwenye mpesa ,dakika hadi kwenye bandle
 
Kwani hiyo compuni si ndio EDO anamiliki % humo pesa za kampeni na sasa anawaandaa mawakala wew unadhani atapata wapi hela kama sio kudokoa kidogokidogo anzia kwenye mpesa ,dakika hadi kwenye bandle

Tunamuongelea Lowasa au mamlaka ya TCRA ?? Kwa hiyo TCRA ipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya wachache ?? Basi hakuna sababu ya kuwepo waivunje tu
 
Sasa Ni Kazi Kwa Wenye Wachumba Maana Kifurushi Cha 500, Hakitoshi, Itabidi Gf Wako Umpe 500 Ajiunge Kifurushi Cha Dakika,na Umpe 500 Nyingne Ili Ajiunge MB Za Intanet, Kaaaaaazi Kwelikwel
 
university offer hapa ndo zitakazo shika kasi,,,labda hawa hatotel
 
January atalifanyia kazi kama alivyoahid kweny mb8
 
Wakuu

Mimi Naomba Niweke Kando Vuguvugu Hili La Siasa Nizungumze Na Maslah Ya Watu Na Taifa Kwa Ujumla Wake

Jamani Hii Kampuni Ya Vodacom Ni Kampuni Kubwa Ina Wateja Takrban 9mls Nchini

Lakini Cha Ajabu Wanafanya Biashara Ya Ukiritimba Kupita Kiasi Jana Niliunga Kifurushi Cha Mia Tano Nikapata Dk.15 Leo Naunga Kifurush Hichohicho Napata Dk.14 Wamepandisha Bei Lini Wamemtaarifu Nani Na Ni Nani Yuko Nyuma Yao

Lowasa anamiliki 55.5%"ya hisa za VodaCom, kuna tetesi zimeenea huku mtaani kwamba hela za kampeni ndivyo zinavyotafutwa, siku zote wajinga ndo waliwao
 
Lowasa anamiliki 55.5%"ya hisa za VodaCom, kuna tetesi zimeenea huku mtaani kwamba hela za kampeni ndivyo zinavyotafutwa, siku zote wajinga ndo waliwao

acha bangi mbichii
 
Wakuu

Mimi Naomba Niweke Kando Vuguvugu Hili La Siasa Nizungumze Na Maslah Ya Watu Na Taifa Kwa Ujumla Wake

Jamani Hii Kampuni Ya Vodacom Ni Kampuni Kubwa Ina Wateja Takrban 9mls Nchini

Lakini Cha Ajabu Wanafanya Biashara Ya Ukiritimba Kupita Kiasi Jana Niliunga Kifurushi Cha Mia Tano Nikapata Dk.15 Leo Naunga Kifurush Hichohicho Napata Dk.14 Wamepandisha Bei Lini Wamemtaarifu Nani Na Ni Nani Yuko Nyuma Yao

mkuu hujui kuwa bosi wao lowasa anaelekea kufirisika?
Ili kurecover uchumi wake ndio amewaamuru wafanye hayo.

Ndio huyo anayesema anauchukia umaskin
 
Kampuni ni ya. Lowasa mnaeona ni mkombozi. Kazi kwenu sasa
 
kampuni ya LowasSA wacha ile mara ya mwisho.....
 
Nilishatupa hiyo laini kitambo.. Kampun inanyonya kama kupe. Ebo!
 
Back
Top Bottom