Kiukweli hii company ya Vodacom ni hovyo kweli itanibidi nifanye mahaamz mazto kubadili lain kwa matumiz ya internent na maongez mtu tulianza na dakika 20 500 mitandao yote now 649 unapata dakika 10 na 3mb kweli huu ni wizi wa mchana kweli Huduma za bure na zenyewe now zinalipiwa sh
100 unaweza kutuma pesa wasikutumie mssg ili mlad uwapigie wakukate pesa ili kuongea na mtoa Huduma kwa Wateja kiukwel mkuu hii inatutesa sana kama ndo matumiz ya smart phone ni hatari sana nawakilisha
Wakuu
Mimi Naomba Niweke Kando Vuguvugu Hili La Siasa Nizungumze Na Maslah Ya Watu Na Taifa Kwa Ujumla Wake
Jamani Hii Kampuni Ya Vodacom Ni Kampuni Kubwa Ina Wateja Takrban 9mls Nchini
Lakini Cha Ajabu Wanafanya Biashara Ya Ukiritimba Kupita Kiasi Jana Niliunga Kifurushi Cha Mia Tano Nikapata Dk.15 Leo Naunga Kifurush Hichohicho Napata Dk.14 Wamepandisha Bei Lini Wamemtaarifu Nani Na Ni Nani Yuko Nyuma Yao