hang'olwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 538
- 196
usibishe mkuu hayo yapo na mengine ukiambiwa yapo utashangaaUnajidanganya wewe, taja hiyo software maana watu wangekuwa uchi wote. Siku hizi vijana ni matatizo, hela kidogo wanashawishika
usibishe mkuu hayo yapo na mengine ukiambiwa yapo utashangaaUnajidanganya wewe, taja hiyo software maana watu wangekuwa uchi wote. Siku hizi vijana ni matatizo, hela kidogo wanashawishika
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
Hebu sikiliza unaweza ukawalaumu Voda kumbe simu yako imewekewa Mobile Spy Applicatiom zipo nyingi na moja wapo ni mSpy
Labda kama simu yako ni ya Nokia Touch au Mchina asiyesupport Store yeyote ile....
Chunguza hilo kwanza usilalamike
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
Unajidanganya wewe, taja hiyo software maana watu wangekuwa uchi wote. Siku hizi vijana ni matatizo, hela kidogo wanashawishika
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
Nilichojifunza hapa ni kuwa vyote vinawezekana kuwatumia wafanyakazi wa voda au kutrack kwa kutumia hizo software je kuna njia yeyote ya kuzuia mtu asiweze kusoma smg zako hewani?
Pole..whazap prog mkuuAsante sana mkuu. Yaani hapa kama nipo uchi vile. Inauma sana sana sana bora usimuliwe si yakukute!
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Chukua hatua mkuu wasiliana na TCRA.Pole sana
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mwache ajifurahishe tu kuilaumu Voda,ninachojua mimi hakuna sehemu ambayo sms content unaweza kuziona. unaxhowezaona ni namba tu zilizotumika kutuma msg. Meseji yenyewe kwa service provider hazionekani...