Tulia wewe utopolo..magoli yote ya butu butu tu,butuuuuuuu kipa katema,butuuuu tena kipa imegonga mwamba,butuuuuu tena imebabatiza mabeki butuuuuuuu tena ndio inaingia kwenye nyavu...alafu benchi la ufundi lote linashangalia
Anapumzika tu usichopenda kocha kapemda mkuu76' Ametoka Morrison na nafasi yake imechukuliwa na Mzamir upande wa Simba
Hii Sub sijaipenda kuna shida gani Morrison kumalizika dakika 90?