Karibu Uone mpira Unavyochezwa..Kunywa juice ya Ndimu nakuja kulipiaHahahaaaa. Hebu huko Mtani.
06' Fragaaaaaaa Goooooooooooooooooooaaal
Simba SC wanaandika bao kupitia kwa Gerson Fraga kufuatia mpira wa faulo uliopigwa na Chama
Simba SC 1-0 Coastal Union