Hayo madai 'em' kwanza tupate matokeo ya mtanange huu....japo yana msingi sanaWadau wa Mpira tupaze Sauti Wizara ya Michezo wausimamie Vizuri uwanja wetu wa Taifa siyo kukusanya Pesa pasipo ukarabati. Canopy za Milango ya Geti kubwa za kuingilia kwa juu bomba zake zimeoza na kutu ya hatari, Vyooni hakuna maji wala taa, viti vingi vimekatika na kuegeshwa kwa Waya. TFF nina wasiwas hata ile fedha ya Simba ya Kuvunja Viti huenda haikufanya kazi kwa Ufanisi. Kwa kifupi Uwanja huu hauna miaka Mingi uwe hofu. Inauma
mkuu tutajie listi mana huku tuliko hata redio hamna05' Mpira umeanza kwa kasi ambapo krosi ya Kagere inamfikia Bocco na anapiga kichwa kinatoka mita chache ya lango la Biashara.
Sare mpelekee jirani