firebridge
Member
- Jan 15, 2013
- 20
- 5
Tangu kampuni ya VODACOM kuanzisha utaratibu wa kulipia shilingi 900 ili kupata kifurushi ambcho kinakuwezesha kupata GB 1 kwa upande wangu naona kampuni hiyo inafanya wizi wa wazi wazi kwani hakuna hata sikumooja uatumia hata MB 500 maana mtandao huo sijui umefungwa maana una search taratibu mno.
na hata ku down lord mtandao unajikongoja kiasi kwamba kuna namna wanavyofanya ili hiyo GB isitumike yote. Mbona hapo awali tulipokuwa tukinunua MB 250 mtandao ulikuwa unafunguka na ku down lor kwa speed.
Lakini naona si kosa lenu ila ni kosa la Wizara inayosimamia mawasiliano kwani inawaachia mfanye mpendavyo kwa sisi wanyonge.
Inawezekaqna mnawafumba macho kwa vile mnatoa udhamini kwa shughuli mbali mbali.
But thre is a day.
na hata ku down lord mtandao unajikongoja kiasi kwamba kuna namna wanavyofanya ili hiyo GB isitumike yote. Mbona hapo awali tulipokuwa tukinunua MB 250 mtandao ulikuwa unafunguka na ku down lor kwa speed.
Lakini naona si kosa lenu ila ni kosa la Wizara inayosimamia mawasiliano kwani inawaachia mfanye mpendavyo kwa sisi wanyonge.
Inawezekaqna mnawafumba macho kwa vile mnatoa udhamini kwa shughuli mbali mbali.
But thre is a day.