mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,912
- 132,230
Habari zenu wana jf,
Ningependa ku-share maumivu ambayo huwa nakutana nayo mara kwa mara pindi niwekapo vocha katika mtandao wa simu wa vodacom.
Leo nmeweka sh 1000 nkajiunga naona ikarudi msg ya kusema salio lake halitoshi eh nkaweka tena 1000 hivyo hivyo maana nilikuwa najiunga kifurushi cha siku.
Cha kushangaza sijapata msg ya mimi kuunganishwa,nikanunua tena 1000 nkajiunga ya siku ikakata nkajiunga tena ya siku ndiyo nkapata mb 150.
Nauliza hivi hela zangu za mwanzo zimekwenda wapi alafu kuna muda mtandao ulisumbua sana au ndiyo walikuwa wanatuibia?
Vodacom acheni wizi, kweli nmeamini lile tangazo lenu la kazi ni kwako limekuwa shida.
Ningependa ku-share maumivu ambayo huwa nakutana nayo mara kwa mara pindi niwekapo vocha katika mtandao wa simu wa vodacom.
Leo nmeweka sh 1000 nkajiunga naona ikarudi msg ya kusema salio lake halitoshi eh nkaweka tena 1000 hivyo hivyo maana nilikuwa najiunga kifurushi cha siku.
Cha kushangaza sijapata msg ya mimi kuunganishwa,nikanunua tena 1000 nkajiunga ya siku ikakata nkajiunga tena ya siku ndiyo nkapata mb 150.
Nauliza hivi hela zangu za mwanzo zimekwenda wapi alafu kuna muda mtandao ulisumbua sana au ndiyo walikuwa wanatuibia?
Vodacom acheni wizi, kweli nmeamini lile tangazo lenu la kazi ni kwako limekuwa shida.