J627204
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 268
- 99
SIMU NAZIMA ILA INASalio nikifungua asubuhi salio pimeliwa lote hii imekaaje kwa voda.HII NI KAMPUNI YA WEZI.
Mimi nimekuwa napata matatizo yakukatwa salio na matumizi yasiyoya kweli ya MB nimelalamika bila msaada naomba kuambatanisha hizo msg zao unajiunga mb200 hujazitumia unaambiwa zimeisha ukienda ofisi zao wanasema simu yako haina matatizo sasa sijui hii kampuni ni bora ifungiwe tu.
View attachment 225428 View attachment 225429
View attachment 225430
Habari ingipower unapompigia mteja mwingine simu ukapata ujumbe baada ya simu hiyo kupokelewa kwamba ipo on hold maana yake uliyempigia ndie amekuweka on hold hivyo salio litatumika.thief thief, vodacom, unapiga simu inakwambi simu yako imekuwa hold wakati huo pesa inakwenda, wezi wakubwa hawa bullshirt
Mkuu Undu tuwasiliane kuhusiana na hili, tunaomba namba ya simu DM kwa msaada zaidi. KaribuSIMU NAZIMA ILA INASalio nikifungua asubuhi salio pimeliwa lote hii imekaaje kwa voda.HII NI KAMPUNI YA WEZI.
Habari ndugu mteja, kwa aina ya simu unayotumia kiasi hicho cha MB ni kidogo hivyo kupelekea kifurushi kuisha haraka. Hii ni kwasababu simu yako inasync wakati wote. Tunakushauri disable auto refresh katika Apps au zima Mobile Data wakati ambapo huitaji kutumia Intaneti. Usisite kuwasiliana nasi kwa msaada zaidi, ahsante