Vodacom nao hawako nyuma.

aiseee ni hatari sana 2naelekea pabaya mno kama usengerema huu autakemewa utaacha athari ya ujinga kwa vizazi vyetu
Sometimes msiwe wepesi wa kuamini kila kinachowekwa humu. Hiyo picha haina ukweli wowote
 
Hahahahahahaaa itakuwa ni mwendo wa kutiiiaanaa na kuutiiwaa tuu looh hawa Voda hawa wafute huu usemi kabla haujaleta madhara hehehehehehe
Haha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mi nadhani hawa wabunifu wa haya matangazo wamekuwa wahuni na ni vijana waliokosa maadili.Naamini kuna maneno mbadala yasiyo na ukakasi kwenye jamii.Kwa mfano wangesema, Ongeza uongezewe, weka uwekewe n.k.Tatizo ni kurahisisha kila kitu huku wakisahau kuwa wanaharibu jamii.
 
Hizo noi akili za Joti,sasa voda nao wanaiga,
watalimwa faini mda si mrefu hawa maana wanatukana watu kijoti joti
 
Hizo noi akili za Joti,sasa voda nao wanaiga,
watalimwa faini mda si mrefu hawa maana wanatukana watu kijoti joti
 
Au ndo wanatangaza ushoga kwa njia hii,, Watoe ufafanuzi na iyo misem yao wasitupande vichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…