Vodacom nao hawako nyuma.

Vodacom nao hawako nyuma.

aiseee ni hatari sana 2naelekea pabaya mno kama usengerema huu autakemewa utaacha athari ya ujinga kwa vizazi vyetu
Sometimes msiwe wepesi wa kuamini kila kinachowekwa humu. Hiyo picha haina ukweli wowote
Natupa rasmi line yangu ya Vodacom kuanzia sasa hivi. Yaani kabisa nitie halafu nitiwe? Inaonekana hawa Wabunifu wa haya Makampuni ya Simu siku hizi wanavuta Misuba siyo ya nchi hii. Kwahiyo kwa mfano ukienda Dukani unamwambia Wakala kuwa nitie halafu nitiwe hivi kwa Sisi Watu wa Pwani hapa si kutaka tu kutafutana ubaya humu mitaani?
 
813804e14b20e62a81e602410f6ccb14.jpg

Mama yangu! Kwahiyo niingie halafu niingiziwe? Hivi haya Makampuni ya Simu Watu wa hivi Vitengo wamevutia wapi Bangi / Bange ya pamoja hadi wamewehuka hivi?
 
Mi nadhani hawa wabunifu wa haya matangazo wamekuwa wahuni na ni vijana waliokosa maadili.Naamini kuna maneno mbadala yasiyo na ukakasi kwenye jamii.Kwa mfano wangesema, Ongeza uongezewe, weka uwekewe n.k.Tatizo ni kurahisisha kila kitu huku wakisahau kuwa wanaharibu jamii.
 
Hizo noi akili za Joti,sasa voda nao wanaiga,
watalimwa faini mda si mrefu hawa maana wanatukana watu kijoti joti
 
Hizo noi akili za Joti,sasa voda nao wanaiga,
watalimwa faini mda si mrefu hawa maana wanatukana watu kijoti joti
 
Au ndo wanatangaza ushoga kwa njia hii,, Watoe ufafanuzi na iyo misem yao wasitupande vichwani
 
Back
Top Bottom