Vodacom Mpesa ni wezi.


Waambie wasome zaburi ya 49..
 

Kwenye bluu, ukidaiwa wanakujulisha na unapo refund wanakujulisha huku shukurani za ushirikianao zikitolewa.
Kwenye nyekundu, hilo lisingemgusa Mzee, angehangaika nalo aliyekosea.
Kwenye kijani kula tano Masuke.
Mwisho, kwa nini utoe pesa kwenye muamala wenye mashaka?
 
Last edited by a moderator:
Kwenye nyekundu maana yangu ilikuwa ni kwamba kuna mteja mwingine some where ambaye nadhani alikosea badala ya kuingiza namba ya wakala ya alipokuwa yeye akaingiza namba ya mtoa mada kwa hiyo hela ilivyovutwa ikasababisha balaa kwa mtoa mada.
Muamala maana yake ni transaction, ni mchakato wa kutoa na kuweka hela na kwa maelezo ya mtoa mada transaction ilikamilika ndo maana hata yeye alipata message kwa hiyo muamala haukuwa na mashaka yoyote.
 

Wewe vipi? Huko some where huko, hata kama pesa ilikuja kwa mtoa mada kwa makosa kwa kawaida kiasi hicho huzuiliwa kwa saa zisizopungua 24. Haitumiki aidha kwa wakala ilipokosewa ama kwa mteja aliyekosea kwa kipindi chote mpaka kuwepo na mwafaka. Wote WATAPIGIWA simu ku indicate scenario hiyo na baada ya saa hizo 24 pesa itarudishwa kwa aliyekosea ilihali kwa huyu wakala zinakotoka akipewa message ya notification ikiwa na transaction ID number. Umenisoma jembe?
 
Vija JF, topic closed.

Tatizo limekwisha, ilikuwa hivi.

Mwanzo kabisa salio lilikuwa ni 1,132,500.
Kuna mteja akatoa 47000, Salio jipya likawa ni 1,183,900 badala ya 1,179,500. Ikiwa na maana kuwa kuna ongezeko la 4400. Hili si kulitambua- Ni rahisi kugungundua pungufu kuliko nyongeza. Hizo ni tabia za kibinadamu tu.

Baada ya Mteja mwingine kutoa 3500 nikaona kuna pungufu ya 4400. Hatua ya kwanza, niliwapigia Vodacom customer care, hawakuwa na jibu sahihi. Nilipiga zaidi ya maramoja: Hawakuwa na jibu sahihi.

Nashukuru baada ya kuweka bandiko langu hapa. Voda wanekuja, tumewasiliana na kutrace tatizo lilipo na kuondoa wasiwasi.

Matokeo:
Inavyoonekana kuna mteja alijarbu kutoa pesa kwangu kiasi cha 4400. Pesa haikutoka, ila kwangu iliongezeka. Baada ya muda pesa ilirudi kwake na akaitoa kwa Wakala mwingine.

Poleni sana kwa usumbufu uliojitojeza, ila mmeyasababisha wenyewe na Kitengo chenu cha Huduma kwa Wateja kushindwa kunipa jibu sahihi.

Asanteni sana.
Mingu ibarki Jamii Forum.
 
Hesabu ni janga la taifa.
Usikute huyu ni mtu kaajiliwa serikalini alafu ni ticha.chezea maths????
Tekinolojia pia ni janga.
 
Form 4 masalia...wakikufungulia kesi uthibitishe wizi huo utapona wewe,kati ya mia 9 na elf tatu 500 ipi ya kumtoa mwenzake.


Waerevu wamegundua kati yangu na wewe nani mwehu.

Jarbu kadri ya uwezo wako kuficha ujinga wako.
 
Hesabu ni janga la taifa.
Usikute huyu ni mtu kaajiliwa serikalini alafu ni ticha.chezea maths????
Tekinolojia pia ni janga.


Ficha Ujinga wako.

Hiyo hesabu imekosewa wapi¿
 


Werevu wamekuelewa, wajinga wachache bado wanahaha.

Pamoja kiongozi.
 
Mzee na Tindikali, kulingana na post #46 inaonyesha wazi kuwa mnapenda kukurupuka na kutoa lawama bila kufanya research exhaustively. Nampongeza sana Masuke kwa kuwa composed kwenye michango lakini nimfurahie Rogie na wengine wote kwa kupinga wazi lawama za mleta mada.
 


Chizi Fureshi
Nafikiri umenielewa. Nimejarbu kuwasiliana Huduma kwa wateja ili wanipe jibu sahihi.

Nimewasiliana nao zaidi ya mara moja,
 
Last edited by a moderator:


Rogie
Hebu tueleze mahala pa kupatia ufumbuzi zaidi ya kupitia kitengo cha "Huduma kwa Wateja"???.

Hilo nimefanya.
 
Last edited by a moderator:
Rogie
Hebu tueleze mahala pa kupatia ufumbuzi zaidi ya kupitia kitengo cha "Huduma kwa Wateja"???.

Hilo nimefanya.
piga 15366, ingawa kuna makato, tena ukitumia line yako unayofanyia biashara ni rahisi zaidi kusaidiwa.
 
Mzee,
Nisaidie tafadhali ingawa wewe ni wakala tu. Hivi nahitaji kutimiza vigezo gani lil nipewe uwakala. Natamani kufanya kazi hiyo na Vodacom.
 
piga 15366, ingawa kuna makato, tena ukitumia line yako unayofanyia biashara ni rahisi zaidi kusaidiwa.


Masuke
Nilifanya hivyo zaidi ya mara moja ila sikupata jibu sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Mzee,
Nisaidie tafadhali ingawa wewe ni wakala tu. Hivi nahitaji kutimiza vigezo gani lil nipewe uwakala. Natamani kufanya kazi hiyo na Vodacom.

Kwa kuongezea nami naomc kueleweshwa namna faida inavyopatikana kwa uwakala wa mpesa, tigo pesa ama airtel money maana ninaplan kua wakala siku za usoni.
 
mshahara wa 280000 wanaolipwa hao customer care bila benefit zozote unategemea watatoa huduma gani hapo
 
Una uhakika na hili mkuu?? Unaweza kusimama Mahakamani??

Nina uhakika sana tu mkuu kwani nimejaribu sana kuandika ile miamala nikaona kila mwezi napoteza hela nimejaribu kufuatilia lakini wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…