TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Wadau, nashukuru mungu nimerudi mjini baada ya katripu kafupi... nimeimiss sana JF hasa kwa kukosa habari nzito na nyepesi na pia hoja nzito na nyepesi na vimbwanga vyote kwenye majukwaa mbalimbali
Nina tatizo moja, yaani haka ka-mobile partner tangu nikaingize kwenye ile MYMEG kamekuwa slow na ni siku tatu sasa sijapata access kabisa; sasa maswali yangu. Je, hiki kimobile partner ina maana coverage yake ni tofauti na simu za kawaida?
Je nikiweka MYMEG ndio inakuwa slow au kuna tatizo jingine?
Ninajua kuna wataalam humu na walinisaidia kuondoa virusi, naombeni msaada maana namiss JF tena sasa niko likizo itakuwa mateso makubwa
Wakatabahu...
Nina tatizo moja, yaani haka ka-mobile partner tangu nikaingize kwenye ile MYMEG kamekuwa slow na ni siku tatu sasa sijapata access kabisa; sasa maswali yangu. Je, hiki kimobile partner ina maana coverage yake ni tofauti na simu za kawaida?
Je nikiweka MYMEG ndio inakuwa slow au kuna tatizo jingine?
Ninajua kuna wataalam humu na walinisaidia kuondoa virusi, naombeni msaada maana namiss JF tena sasa niko likizo itakuwa mateso makubwa
Wakatabahu...