Wameanza lini? Maana na mimi laini yao ipo kwenye kitochi hapa.Jamaa wamekuja na mpya sasa. Ukitaka kuangalia salio kawaida unatozwa shilingi 60. Ukitaka kuangali bure unaambiwa download App yao. Sasa mimi nina simu ya tochi. Je hiyo App ninaiwekaje? Duuhhhh
Kumbe salio la M-Pesa hapo sawa, mi nilijua salio la kawaida la vocha maana hata wewe hujaandika kama ni mpesa.Hebu jaribu manu yao ya M-Pesa uone