Vodacom expo tena

Vodacom expo tena

da irritant boy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
407
Reaction score
455
Habari wanajamvi nimeona matangazo ya vodacom katika page yao ya facebook na wameeleza kuwa kuna punguzo kubwa la bidhaa zao ikiwemo smartphone za vodafone maeneo ya leaders club,sasa kwa mdau yoyote ambae ametembelea maeneo hayo atujuze zaidi kuhusu bei ya simu hizo na bidhaa zingine,
 
Ni kweli smartphone za vodafone zina punguzo la 55% toka tsh 220,000 hadi 100,000... Ila sio simu zote zina punguzo la 55% nyingine ni punguzo la 5% na kuendelea hadi 50%

Nimemchukulia wife Samsung gallaxy star plus kwa tsh 175,000 na iko poa kabisa, sema ndio simu ya kijinga ambayo imewahi kutengenezwa na kampuni ya samsung, haina 3G
 
Ni kweli smartphone za vodafone zina punguzo la 55% toka tsh 220,000 hadi 100,000... Ila sio simu zote zina punguzo la 55% nyingine ni punguzo la 5% na kuendelea hadi 50%

Nimemchukulia wife Samsung gallaxy star plus kwa tsh 175,000 na iko poa kabisa, sema ndio simu ya kijinga ambayo imewahi kutengenezwa na kampuni ya samsung, haina 3G

Hahahaaa haina 3g mkuu?
 
Hahahaaa haina 3g mkuu?
Haina primking unajua nilimnunulia wife bila kuifanyia utafiti hata kidogo, ni bora ningemnunulia hata Vodafone smart4 kwani ina 3G na uwezo sawa na hii star plus sema tu kwa ubora samsung wako juu ila kwa hii simu wamechemka vibaya sana yaani
 
Last edited by a moderator:
Haina primking unajua nilimnunulia wife bila kuifanyia utafiti hata kidogo, ni bora ningemnunulia hata Vodafone smart4 kwani ina 3G na uwezo sawa na hii star plus sema tu kwa ubora samsung wako juu ila kwa hii simu wamechemka vibaya sana yaani

Duuhh pole sana mkuu ila sema unaweza ongea nao kistaarabu thn uka top up na ela ela kdgo thn wakupe cm ambayo itakidh maitaji mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli smartphone za vodafone zina punguzo la 55% toka tsh 220,000 hadi 100,000... Ila sio simu zote zina punguzo la 55% nyingine ni punguzo la 5% na kuendelea hadi 50%

Nimemchukulia wife Samsung gallaxy star plus kwa tsh 175,000 na iko poa kabisa, sema ndio simu ya kijinga ambayo imewahi kutengenezwa na kampuni ya samsung, haina 3G

Hahahahaha umenifurahisha sana mkuu. We sema haiifikii Samsung Bada... yaani hata sijui walitengeneza ili iweje
 
Back
Top Bottom