Vodacom expo: Mlimani city

Vodacom expo: Mlimani city

Old Skuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
690
Reaction score
178
Jamaa wamekuja na hiyo kitu wakisema watauza simu za Samsung, Huawei,Tecno na Nokia kwa punguzo kubwa la hadi 80% pale Mlimani city Nov 2 na 3.
Naomba atakaeshuhudia au mwenye taarifa zaidi atupe updates ya:

1.Simu hasa zinazouzwa ni smartphones au zipi?
2.Je kuna gadgets/electronics za ziada zinauzwa kwa hilo punguzo?
 
Simu za aina zote zinauzwa zikiwemo hizo smartphones ila kuna taarifa ambazo bado sijazithibitisha ni kwamba!!


Simu hizo ni za laini moja tu ya vodacom na huwezi kuflash au kuchakachua kwa namna yoyote ile unayoijua wewe na ukifanya hivyo basi simu yako haitakuwa salama tena kwa matumizi hivyo itakuwa ya kutupwa tu!!!
 
oh na mie nilihisi kitu kama hicho, basi asante sana kwa taarifa tusisumbuke maana Enzi hizi sio za kuanza kukabana nije nishindwe niitupe bure
Simu za aina zote zinauzwa zikiwemo hizo smartphones ila kuna taarifa ambazo bado sijazithibitisha ni kwamba!!


Simu hizo ni za laini moja tu ya vodacom na huwezi kuflash au kuchakachua kwa namna yoyote ile unayoijua wewe na ukifanya hivyo basi simu yako haitakuwa salama tena kwa matumizi hivyo itakuwa ya kutupwa tu!!!
 
siuende mkuu ukajiionee kuliko kusubiri jibu la salesperson humu ndani..
 
Kwa msio jua kitu kinaitwa Contract phone basi ndio hiki kitu wanaenda kufanya, hiki kitu kwa walioishi nchi za nje USA UK ASIA wanakijua, unaingia mkataba na kampuni ya simu kwa muda fulani, mfano miaka miwili wanakupunguzia bei ya simu kwa asilimia kubwa sana unaweza ukauziwa hata laki moja au mbili simu ya milioni. au hata chini zaidi..ila kila mwezi unakua unawalipa kiasi flani cha pesa labda elfu 50 (inategemea na wanavyopanga ili kufaidi), hiyo wanakupa labda messages kadhaa, internet n calling minutes kadhaa, n ukiingia hujitoi au ukijitoa unalipia asilimia 100 ya ile simu...
 
Sio wote ni salesperson humu ndani,nafikiri kuna taarifa muhimu zinapatikana kwa wale wenye nia ya kwenda kupitia uzi huu!!!
Dont be so rude...
 
Ah,kumbe??!!Asante kwa taarifa mkuu
 
Kwa msio jua kitu kinaitwa Contract phone basi ndio hiki kitu wanaenda kufanya, hiki kitu kwa walioishi nchi za nje USA UK ASIA wanakijua, unaingia mkataba na kampuni ya simu kwa muda fulani, mfano miaka miwili wanakupunguzia bei ya simu kwa asilimia kubwa sana unaweza ukauziwa hata laki moja au mbili simu ya milioni. au hata chini zaidi..ila kila mwezi unakua unawalipa kiasi flani cha pesa labda elfu 50 (inategemea na wanavyopanga ili kufaidi), hiyo wanakupa labda messages kadhaa, internet n calling minutes kadhaa, n ukiingia hujitoi au ukijitoa unalipia asilimia 100 ya ile simu...

Sio sahihi.
 
Simu za aina zote zinauzwa zikiwemo hizo smartphones ila kuna taarifa ambazo bado sijazithibitisha ni kwamba!!


Simu hizo ni za laini moja tu ya vodacom na huwezi kuflash au kuchakachua kwa namna yoyote ile unayoijua wewe na ukifanya hivyo basi simu yako haitakuwa salama tena kwa matumizi hivyo itakuwa ya kutupwa tu!!!

Wabongo bana,mnapenda kudanganyana aise.
 
Sio sahihi.
Ukisema sio sahihi mkuu unasahihisha, ukikaa kimya watu wataelewa vipi? Sema kama kuna njia nyingine ambayo watatumia hawa jamaa kukata 80% ya bei ya simu. Na njia niliyoisema hapo juu si kwamba nje haitumiki, inatumika 100% nishawahi kua na contract phone najua nachokisema
 
ILE LIST YA VITU VILIVYOPO MLIMANI CITY LEO NA KESHO KATIKA VODACOM EXPO,ANGALIA hapa
 
Ufafanuzi, wakisema punguzo mpaka 80% wanamaanisha simu ya sh 100,000 mfano itauzwa sh20,000 au sh 80,000.

Maana sielewi elewi hapa.
 
hizo vitu ni za laini moja tu ya vodacom na
huwezi kuflash kwa namna
yoyote ile na ukifanya hivyo basi
haitakuwa salama tena kwa matumizi
hivyo itakuwa ya kutupwa tu!!!
 
Mie ndo niko njiani naenda huko, nikinunua ntawaambia
 
Wazushi watupu. Wametupotezea mda.............................. Wezi tuu ndo mana mm situmiagi kbsa voda.
 
Back
Top Bottom