Hivi hakuna mwakilishi wa Vodacom au TCRA humu barazani?
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!
M-pesa leo mmeniumbua mbele ya baba mkwe na mama mkwe.Pesa unahamisha ila msg ya kuthibitisha kuwa umehamisha pesa hazirudi na account inaonyesha pesa imetoka.Tatizo hili limekuwa likilalamikiwa kwa wiki tatu sasa. Custumer care(tena wa kike) ananigombeza kama mtoto,ananikatia simu niliyopiga kama customer wa VODACOM kuomba msaada('15366' kupitia namba hii ambayo nachajiwa navyoipiga) ananipelekesha na kujifanya yeye ndo fundi mitambo eti pesa imeshatoka iko hewani ila napaswa nitume tena(jibu hili nimeshapewa zaidi ya mara tano kwa siku tofauti ninazo muamishia mtu pesa kwa M-PESA). Lile tangazo lenu la M-pesa la yule mjomba anayepaa ni zuri sana na linaonekana mmelitengeneza kwa pesa nyingi ila huduma mnayoitoa kwa wateja wenu haifanani na maudhui ya tangazo hilo.
Matatizo ni kitu cha kawaida, ila tatizo hili limekaa zaidi kwa takribani siku ishirini naa.. Nadhani mmeingiza siasa kwenye HUDUMA YA VODACOM.
Kuna kitu tutafanya kama wateja then mtafrahiii!!!
Fungua kesi ya madai juu ya kampuni hii, kwani ukiwashinda utapata pesa nyingi sana na pia watanzania tuanze kususia Vodacom na tigo na wote tujiunge Zantel kwani ndio mtandao wenye kujali wateja
Naona Zantel wameamu kuwanunua watu JF ili wawatangaze!!Yani Watanzania wangejiunga na Zantel yani wangekuwa tumenusuru pesa ze2. Voda Mi nitaihama penda wasipende. Wezi wakubwa hawa.
Inawezekana ni kweli eee!Hivi hakuna mwakilishi wa Vodacom au TCRA humu barazani?
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!
Pole sana Shark kwa kukatwa senti zako.Nakushauri uende duka lolote lililo jirani na ww wataitoa hiyo huduma usiyoitaka na maisha yatasonga kama kawa.
Nashauri pia uwe na ukomavu wa fikra kuliko kukurupuka na kutukana kampuni nzima.zile promo huwa zinarushwa redioni kwenye tv na mwishoni huwa wanasema masharti na vigezo kuzingatiwa.
Hausomi hayo masharti wala kujiuliza mara mbili kabla hujashiriki.Umaskini wako unakusukuma kushiriki promo ili upate hela za bure.
Mwisho;jaribu kuacha fikra za kimaskini za kuweka vocha za buku buku...umakaa dar tangu 1985 hadi leo,una internet kwenye cm lkn bado una fikra za kimaskini.
Ukue