only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...WanaJF siku za karibuni nimekuwa napata sms nyingi toka VODACOM zinazobeba ujumbe ufuatao..."Wewe ni.....? umepewa namba ya siri SC1 na umechaguliwa kushiriki droo leo usiku ya kushindania Tshs Mil 3 tuma neno pesa kwenda 15544 ushinde kila sms ni Tshs 550" unajua hawa jamaa ni matapeli kweli,nilidhani mara ya kwanza tupo labda watu mia hivi kwenye droo..kumbe wanawatumia almost wateja wao wote...huu ni utapeli sitaki sms zenu VODACOM...........