Vodacom 3g inaharibu battery za simu sana kuliko mitandao mingine

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Naanza kwa kutoa angalizo mapema. Hili bandiko halina nia ya kupondea mtandao wa voda na kutoa promo kwa mitandao mingine.

Nachojaribu kueleza hapa ni kitu ambacho nimekifanyia research na ninaleta summary ya findings.

Hivi sasa ni asilimia kubwa ya watumiaji wa simu wanatumia Smart phones zenye access na internet. Hizi smartphone zinakumbwa na changamoto kubwa ya kuishiwa charge mapema hasa pale data inapokuwa imewashwa.

Ni ukweli kuwa Receiption ya Network ya data bado ipo chini hapa Tanzania. Haijalishi ni katika miji mikubwa au vijijini. Receiption or signal strength inapokuwa chini, simu hutumia power kubwa kusearch network na ndivyo battery inatumika zaidi.

Vodacom ni mtandao mkongwe hapa Tanzania lakini tukija katika upande wa data, signal strength yake sio stable na ipo chini sana kulinganisha na mitandao mingine.

Kitendo cha netwark data kujibadili hovyo mara 3g or 2g, hufyonza power nying sana. Na mtandao wa voda ndyo unaoongoza kujibadili data.

Mi ni mtumiaji wa voda huu mwaka wa kumi sasa. Nimekuwa nikipata changamoto ya simu kuchemka na kuisha charge faster pale napotumia data. Mara ya kwanza nlidhani ni simu ndyo inamatatizo lakini hivi karibuni nimekuja kugundua kua tatizo ni network.

Nimejaribu kutumia halotel wiki ya tatu sasa, sioni simu kuchemka wala kuishiwa battery mapema. Sasa naweza weka data on muda wote na kutumia bila wasiwasi.

Hivyo basi vodacom wanabidi wajitahidi kufanya mtandao wao uwe stabe ili wapunguze kutuharibia battery za simu zetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naanza kwa kutoa angalizo mapema. Hili bandiko halina nia ya kupondea mtandao wa voda na kutoa promo kwa mitandao mingine.

Nachojaribu kueleza hapa ni kitu ambacho nimekifanyia research na ninaleta summary ya findings.

Hivi sasa ni asilimia kubwa ya watumiaji wa simu wanatumia Smart phones zenye access na internet. Hizi smartphone zinakumbwa na changamoto kubwa ya kuishiwa charge mapema hasa pale data inapokuwa imewashwa.

Ni ukweli kuwa Receiption ya Network ya data bado ipo chini hapa Tanzania. Haijalishi ni katika miji mikubwa au vijijini. Receiption or signal strength inapokuwa chini, simu hutumia power kubwa kusearch network na ndivyo battery inatumika zaidi.

Vodacom ni mtandao mkongwe hapa Tanzania lakini tukija katika upande wa data, signal strength yake sio stable na ipo chini sana kulinganisha na mitandao mingine.

Kitendo cha netwark data kujibadili hovyo mara 3g or 2g, hufyonza power nying sana. Na mtandao wa voda ndyo unaoongoza kujibadili data.

Mi ni mtumiaji wa voda huu mwaka wa kumi sasa. Nimekuwa nikipata changamoto ya simu kuchemka na kuisha charge faster pale napotumia data. Mara ya kwanza nlidhani ni simu ndyo inamatatizo lakini hivi karibuni nimekuja kugundua kua tatizo ni network.

Nimejaribu kutumia halotel wiki ya tatu sasa, sioni simu kuchemka wala kuishiwa battery mapema. Sasa naweza weka data on muda wote na kutumia bila wasiwasi.

Hivyo basi vodacom wanabidi wajitahidi kufanya mtandao wao uwe stabe ili wapunguze kutuharibia battery za simu zetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifumbua macho kaka ...hata Mimi lile tatizo la kuisha beteri nguvu hivi sasa silioni kwa sababu natumia Halotel mda huu tofauti na dhamani nilivyokuwa natumia Vodacom... Na wala sitaki kuludi huko tena koz hivi sasa najiunga kifulushi cha mwezi Halotel mambo yankua murua!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
airtel sasa ndio kiboko.... bora hata hao voda ila
kwakweli halotel ni nyepesi mnoo

Airtel aisee wamezidisha, yaani simu ilikuwa inapata moto mpakka nikasema hiki nini. Siku moja nikajaribu kununua data ya halotel, aisee yaani naenjoy mpaka basi. Simu haipati moto tena.
 
Halotel ndio wanaunda tecno?

Mm mtumiaji wa vd na ninathubutu kusema shida ni simu yako. Nunua a bit expensive stuff, ukute ni hizi za mchina & line ya voda...labda ni chanzo.

Pole sana hama eneo unaliishi uone km kuna changes

Alichokiongea technicaly ni kweli, acha kuponda tuu pasipo sababu. Vodacom, airtel ni majanga katika hii. Frequent network switching hupelekea consumption kubwa ya umeme wa simu na hence betri kupata moto.
 
Back
Top Bottom