Voda wameminya vifurushi vyao vya internet

Voda wameminya vifurushi vyao vya internet

Njooni kwenye kizazi cha T
poleni kuendelea na Shida hizo
 
Nilifikiri hili tatizo la bundle kwa vodacom ni langu ila nimejaribu kuamia mitandao mingine kwa kutumia hiyo MNP nimeshindwa naomba maelekezo voda wanakosa credibility kwa wateja wake kwasasa
 
Nilifikiri hili tatizo la bundle kwa vodacom ni langu ila nimejaribu kuamia mitandao mingine kwa kutumia hiyo MNP nimeshindwa naomba maelekezo voda wanakosa credibility kwa wateja wake kwasasa
Kuna kitu wanakifanya..
nunua tu laini mpya achana na MNP
 
Ngoja tuanze kuwa tunahama mitandao bila kubadli nu. Yan mwenye vfurush bomba ndko ntaamia
 
Tigo mbona wana kifurushi cha 1GB kwa shilingi 600.
 
Haya yote yann? Mnajitakia nanyie c mhamie haltl bn tumewachoka sas
 
Back
Top Bottom