Voda wameminya vifurushi vyao vya internet

Jaby'z

JF-Expert Member
Jan 15, 2013
4,303
7,629
Aisee vodacom sasa hii imezidi, Jana nimejiunga 2GB nimestream video tatu tu youtube zenye urefu usiozidi dakika 30 naambiwa bundle limeisha.
Leo asubuhi nimejiunga 500MB nimeingia JF tu naambiwa "Low MB alert"
inaonekana mnaandika 2GB kumbe kiuhalisia ni 500MB,kama ndio hivyo kwanini mdanganye kama mmepunguza MB si mseme??
 
Ugomvi wa nini. Jaribu Airtel sh 1000 GB 2 kwa siku 3, dk 100 muda wa maongezi nk, meseji kibao.
Nenda mitandao mingine pia:
Halotel, TTCL, Tigo huenda kuna mazuri yake pia.
 
Ugomvi wa nini. Jaribu Airtel sh 1000 GB 2 kwa siku 3, dk 100 muda wa maongezi nk, meseji kibao.
Nenda mitandao mingine pia:
Halotel, TTCL, Tigo huenda kuna mazuri yake pia.
wameona wateja ni wengi sasa wameamua kutukomoa
 
Aisee vodacom sasa hii imezidi, Jana nimejiunga 2GB nimestream video tatu tu youtube zenye urefu usiozidi dakika 30 naambiwa bundle limeisha.
Leo asubuhi nimejiunga 500MB nimeingia JF tu naambiwa "Low MB alert"
inaonekana mnaandika 2GB kumbe kiuhalisia ni 500MB,kama ndio hivyo kwanini mdanganye kama mmepunguza MB si mseme??
Bora voda mkuu,tigo ndo majanga
 
Port in kwenda mtandao wenye vifurushi bora zaidi kwako.

Hii inapaswa kuwa moja ya sababu ya wewe kutumia 'Mobile Number Portability ' (MNP)
Yani hamia mtandao mwingine kwa kutumia namba yako hiyo-hiyo na baada ya 30 days utatafakari kama urudi tena voda au uta-port in mtandao mwingine tena ambao utakua na benefit kwako.

TCRA wamesema watanzania hamjui sababu ya kutumia hii MNP.


amsheni akili Watanzania.
 
Back
Top Bottom