Voda speed ya internet wajanja knight.

Voda speed ya internet wajanja knight.

cheesygoon

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Hivi ni mimi tu speed ya wajanja knight ikifika saa 6 usiku voda wanapunguza hadi 50kbps max.hii siku ya nne. Nahama.
 
Hivi ni mimi tu speed ya wajanja knight ikifika saa 6 usiku voda wanapunguza hadi 50kbps max.hii siku ya nne. Nahama.

mkuu, sio wewe tu, hata mm napata shida hiyo. ukinunua kifurushi chochote ambacho ni unlimited, wanapunguza speed. voda ni maQUMER sana.
 
Kwa kweli inasikitisha sana ukizingatia miezi michache iliyopita tz ilikuwa kati ya nchi inayotoa huduma ya internet kwa bei nafuu lakini hivi sasa 1000 is worth 500 gb inasikitisha sana na hivyo vifurushi vya usiku ndio kupoteza hela tu maana speed wanabana yani hata kudownload 200mb ni shida
 
Back
Top Bottom