Voda mnatuua kwa wizi

Voda mnatuua kwa wizi

Voda kweli wezi, mimi Kila nilipojaribu kuweka 1000, nikajiunga na bando la buku, wakajibu subiri confermation ilipo kuja kuwa huna salio; nilichoka. Siku nyingine nikaweka buku, sikupiga wala kupokea cm na msg, jioni sina salio hata 10.
wamekopa mkuu wameenda kulizungushia kwenye biashara nadhani watakurudishia
 
Kama unatumia smartphone usiwalaumu voda, ulipaswa kuswitch off data kwanza ndipo uongeze salio. watz cjui tutaelimika lini!

We mtanzania uliyeelimika, siku-switch data off sawa; lakini inawezekanaje salio liishe wakati hata hiyo salio ama data sikuitumia kwa namna yoyote ile? Pia mda wa hiyo data kuisha ambayo ni saa24 ilikua bado? Inamaana ukiweka salio bila kujiunga ama kujiunga na bando inaweza kuisha bila kutumika na kabla ya wakati?
 
Mimi nimekuwa nikijiunga kifurushi bila kikomo lakini wanakukatia siku 5 kabla ya muda kuisha halafu wanakuambia ujiunge tena. Ukipiga simu kuwaambia customer service ni majuha tu!. Ukikazana wanakuambia wanaliwakilisha suala lako mbele utajibiwa ndani ya saa 24, imetoka. Hakuna kujibiwa na hakuna salio.

Vodacom ni washenzi sana!.


Jiunge kifurushi cha bila kikomo.
 
We mtanzania uliyeelimika, siku-switch data off sawa; lakini inawezekanaje salio liishe wakati hata hiyo salio ama data sikuitumia kwa namna yoyote ile? Pia mda wa hiyo data kuisha ambayo ni saa24 ilikua bado? Inamaana ukiweka salio bila kujiunga ama kujiunga na bando inaweza kuisha bila kutumika na kabla ya wakati?

Umeongea kitu cha kweli, kama watumia smartphone, una-switch data off, ila nafikiri wana-take advantage mida fulani, sababu nimewahi tumia laini yangu kwenye comp (kwenye modem), siku-connect kwenye net, ila asubuhi nilikuta salio limenyofolewa! Imenitokea kama mara 3.
 
Vodacom ni wezi. Tuanzishe kampeni ya delete voda. Ni wezi hawa hakuna cha smartphone wala nini. Kwani smartphone zimeanza leo? Mbona zamani haikuwa hivyo?

Sorry, my phone writes only caps.
 
Mimi nimekuwa nikijiunga kifurushi bila kikomo lakini wanakukatia siku 5 kabla ya muda kuisha halafu wanakuambia ujiunge tena. Ukipiga simu kuwaambia customer service ni majuha tu!. Ukikazana wanakuambia wanaliwakilisha suala lako mbele utajibiwa ndani ya saa 24, imetoka. Hakuna kujibiwa na hakuna salio.

Vodacom ni washenzi sana!.

Ushenzi wao ni kutokusema ukweli ya kwamba vifurushi vya bila kikomo siyo kwamba haviishi hapana, ila kikomo yake pia ina GB, hapo ndiyo hawasemi sasa ni GB ngapi. Kwa hiyo kama unamatumizi makubwa kwa kudhani itadumu kwa siku hizo unajikuta unaishia kati kabla ya siku zako.
 
Vodacom ni wezi. Tuanzishe kampeni ya delete voda. Ni wezi hawa hakuna cha smartphone wala nini. Kwani smartphone zimeanza leo? Mbona zamani haikuwa hivyo?

Sorry, my phone writes only caps.

Mim nimeshaanza mkuu ninahasira sana Yaan mpaka sasa wamekomba tsh30000 kwanza kwenye sim yangu Ya tochi
 
Umeongea kitu cha kweli, kama watumia smartphone, una-switch data off, ila nafikiri wana-take advantage mida fulani, sababu nimewahi tumia laini yangu kwenye comp (kwenye modem), siku-connect kwenye net, ila asubuhi nilikuta salio limenyofolewa! Imenitokea kama mara 3.

Mim hadi kwenye kitochi mkuu wanakomba humo
 
Kuhusu uchaguzi 2015 kwa upande wa chama cha CCM Voda niwahusika wakuu!
 
Kama unatumia smartphone usiwalaumu voda, ulipaswa kuswitch off data kwanza ndipo uongeze salio. watz cjui tutaelimika lini!

Acha kuwaona watu washamba watu wanalalamika wanahoja Ya msingi na wengine humu ni watu wa ICT . Sasa mpaka kwenye sim Ya kitochi ukiacha salio unakutamo 0.00.
 
Back
Top Bottom