Voda mnatuua kwa wizi

Voda mnatuua kwa wizi

pocha2

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
890
Reaction score
396
Dakika 230 zinaishaje ndani ya wiki mbili?? Huu ni wizi wa mchana!! Acheni mchezo huu, mi nafunga kaline Kenu mpaka miaka mitatu
 
Mkuu hawa jamaa ni noma
Sis wengine tumeshaaa sahau hadi line zao
Yaan hawa WANAHISA wapi wananjaa sijapata ona
Nadhani wanataka kurudisha hayo MABILION Ya akina ROSTAM na Mengi
 
Dakika 230 zinaishaje ndani ya wiki mbili?? Huu ni wizi wa mchana!! Acheni mchezo huu, mi nafunga kaline Kenu mpaka miaka mitatu

Mmhhh....hadi leo upo voda????
 
Hivi hii kitu yao ya JAY MILLION imekaaje? Kama siwasomi hivi hawa voda!
 
Sasa hivi nimetoka kuweka kifurushi cha wiki 3500 nikapiga simu 1 ya kuuliza kama kuna hitaji home nikaambiwa hapana ile kukata ikaingia msg kusoma inasema kifurushi kimeisha. Nilikua foleni alli Hassan mwinyi kwa mbele niliona gari ya Voda nikawa za sijui nimfwate... Bahati foleni ikaanza sogea
 
Voda ni wezi sana. Hata mimi nimeshawahama.
 
Nilinunua bundle yao ya internet ya mwezi mzima. Ikaisha baaada ya kutumia dk. 15 the same day! Bullshit wezi hawa. Tutaonana jehenamu.
 
Voda kweli wezi, mimi Kila nilipojaribu kuweka 1000, nikajiunga na bando la buku, wakajibu subiri confermation ilipo kuja kuwa huna salio; nilichoka. Siku nyingine nikaweka buku, sikupiga wala kupokea cm na msg, jioni sina salio hata 10.
 
naibuwaziri anayesimamia hii wizara anataka urais
je utampa?
 
naibuwaziri anayesimamia hii wizara anataka urais
je utampa?
Mwamvita Makamba yupo vodacom SA.Rostam na Lowasa wamiliki wa vodacom ila kuna mtu kani onya kuwa vodacom ni mradi wa ccm
 
Dakika 230 zinaishaje ndani ya wiki mbili?? Huu ni wizi wa mchana!! Acheni mchezo huu, mi nafunga kaline Kenu mpaka miaka mitatu

.....wajinga hao, ilinipotea line yangu ya voda! nikataka kurudisha, eti elfu 5000 au niende ofisi zao.....

citaki kuskia hyo voda!!!!
 
Voda kweli wezi, mimi Kila nilipojaribu kuweka 1000, nikajiunga na bando la buku, wakajibu subiri confermation ilipo kuja kuwa huna salio; nilichoka. Siku nyingine nikaweka buku, sikupiga wala kupokea cm na msg, jioni sina salio hata 10.

Kama unatumia smartphone usiwalaumu voda, ulipaswa kuswitch off data kwanza ndipo uongeze salio. watz cjui tutaelimika lini!
 
Back
Top Bottom