Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
OK... kwa hiyo ina maana hiyo package ya bomba7/30 haina limit ya speed bali inategemea kama unapata coverage ya Egde or HSDPA si ndio? kama itakuwa ndio hivi kama mnavyo sema basi voda ndio ISP ambaye ana bei nzuri zaidi ya mitandao mingine... mimi kwa jinsi nilivyo kuwa nafahamu ni kwamba ukijiunga na package hizi za unlimited za voda wanakulimit speed ambako unapewa 64Kbps.Inategemea na mnara wa sehemu ulipo mkuu,kuna minara inakuwa na Internet speed ya GPRS pekee ambayo limit yake inakuwa 64kbps lakini kuna minara ambayo ina WDCMA na HSDPA ambazo limit yake ni kati ya 500kbps na 1mbps na hii ndo yapatikana hapa nilipo mimi,iko faster kiasi kwamba naweza kudownload movie ya 700mb ndaniya masaa matatu tu kwa hiyohiyo Internet bomba ya Bomba7 na Bomba30