fokonola bokoyoka
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 965
- 640
Hizo sms zao za ushawishi huwa na futa there and then
hapo sawa kubet ni wa uhakika ule mchezoNikaona bora niendelee kubet tu, hii michezo ya namna hii HAPANA
Nilitaka niwe mshindi wa siku mkuu, nichukue M lakini sikuambulia kitu, mpk nikasema basi wanaoshinda watakuwa wanacheza mpk laki tano ndo wanashinda au jamaa wanapiga mkwanja tu kwa msg zao
kweli uliamua kujilipua mkuu.Hivi hii ni kweli eti Unakuta mtu amecheza huu mchezo wa bahati nasibu wa kujibu maswali kajibu swali vizuri afu jamaa wanamwambia kakosa na hela kakatwa hivi huu mchezo ni kweli upo? kama ni kweli hii kampuni ya simu kwa nn inafanya hiv? kama ni uwongo kwa nn kampuni ikae kimya tu?
![]()
haaaaa nyie watu mnanichekesha jamani haaaaNilicheza nusu nimalize laki yangu, daaah sitarudia tena
Kuna dada mmoja tunakaa nae kitaa ni mlokole anafanya kazi vodacom customer care, aliniambia yani voda ni wezi na waongo balaa, yani anafanya kazi basi tu coz hana na anatafuta kwingine, yani yote yanayofanyika wanayaona na wanajua jinsi ya kuwadanganya na kuwazuga, anasema anaona kabisa anavyofanya dhambi ya kuwazuga wateja wakati wanaibiwa sana