Mkwere Sumbawanga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 744
- 660
Hivi hii ni kweli eti Unakuta mtu amecheza huu mchezo wa bahati nasibu wa kujibu maswali kajibu swali vizuri afu jamaa wanamwambia kakosa na hela kakatwa hivi huu mchezo ni kweli upo? kama ni kweli hii kampuni ya simu kwa nn inafanya hiv? kama ni uwongo kwa nn kampuni ikae kimya tu?