Viwanja hivi vipo Kigamboni- Kimbiji jijini Dar es Salaam, mita 500 kutoka baharini. Kutoka Kigamboni mpaka viwanja vilipo ni umbali wa Kilomita 38 ambao ni sawa na umbali wa kutoka Posta Mpya mpaka Bunju. Uzuri wa Kigamboni ni kwamba hakuna foleni ikilinganishwa na maeneo mengine na hali ya hewa ni shwari zaidi kwa sababu ya ukaribu wa bahari.
Bei ya viwanja hivi ni Tsh 12,000 kwa mita za mraba, viwanja vyote vimepimwa na vina huduma kama vile barabara na umeme uko jilani kabisa.
UTARATIBU WA MALIPO NI KUA, UNAWEZA KULIPA PESA YOTE KWA MARA MOJA AU UKALIPA MPAKA KWA AWAMU 4 TOFAUTI
Kwa Mawasiliano zaidi piga 0754 455865
Bei ya viwanja hivi ni Tsh 12,000 kwa mita za mraba, viwanja vyote vimepimwa na vina huduma kama vile barabara na umeme uko jilani kabisa.
UTARATIBU WA MALIPO NI KUA, UNAWEZA KULIPA PESA YOTE KWA MARA MOJA AU UKALIPA MPAKA KWA AWAMU 4 TOFAUTI
Kwa Mawasiliano zaidi piga 0754 455865