Alex777
Member
- Aug 4, 2013
- 30
- 4
Habari Kaka/Dada zangu wa JF,
Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye umri wa miaka ishirini (20).
Nikijana mpenda maendeleo na kupenda kusaidia vijana na taifa zima kwa ujumla.
Namshukuru Mwenyezi MUNGU ameniwezesha kupata leseni (Hati miliki) ya viwanja zaidi ya viwili Handeni kwenye maeneo ya KILINDI, KOMKONGA NA PANGASARU.
DHUMUNI YA POST HII;
Nia na dhumuni ya post hii kwa wanajamii forum ni kuwa, ninaahitaji mtu/watu wakuweza kushirikiana nao katika uwezeshaji ilikuweza kuweka wachimbaji wadogo wadogo watakao saidia kuchimba ilikupatikana kwa dhahabu.
KAMA UPO/MPO INTERESTED MNAWEZA NI PM KWA MASWALI NA MAELEZO ZAIDI.
NAPIA USISITE/MSISITE KUNIPA MAONI AMA USHAURI KATIKA KAZI HII
Ahsanteni.
Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye umri wa miaka ishirini (20).
Nikijana mpenda maendeleo na kupenda kusaidia vijana na taifa zima kwa ujumla.
Namshukuru Mwenyezi MUNGU ameniwezesha kupata leseni (Hati miliki) ya viwanja zaidi ya viwili Handeni kwenye maeneo ya KILINDI, KOMKONGA NA PANGASARU.
DHUMUNI YA POST HII;
Nia na dhumuni ya post hii kwa wanajamii forum ni kuwa, ninaahitaji mtu/watu wakuweza kushirikiana nao katika uwezeshaji ilikuweza kuweka wachimbaji wadogo wadogo watakao saidia kuchimba ilikupatikana kwa dhahabu.
KAMA UPO/MPO INTERESTED MNAWEZA NI PM KWA MASWALI NA MAELEZO ZAIDI.
NAPIA USISITE/MSISITE KUNIPA MAONI AMA USHAURI KATIKA KAZI HII
Ahsanteni.