Vipo Mbezi juu km 4 kutoka Bagamoyo Road. Size 20 x 20 kwa shs 7.5mil au 40 x 20 kwa shs 15mil. Havina Hati miliki certificate of occupancy. Utauziwa chini ya usimamizi wa serikali ya mtaa. Vipo nane. wahi mapema kabla havijaisha au barabara ya kwenda Bagamoyo haijapanuliwa. Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0784225000 au tembelea Property & Real Estate Tanzania
Bei haipo juu kiivyo. Ipo fair sana. Mimi nina taswira ya maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam. Hilo eneo ni zuri sana. Tembea njoo ujionee mwenyewe, Pamoja na bustsni ya miti mikomavu.
Nafikiri anamaanisha barabara ikijengwa vitapanda bei maradufu! So its better kuwahi kable ya barabara haijakamilika wabongo wengi watavimind na hivyo bei kupaa mbinguni ghafla