VIWANJA/NYUMBA vinauzwa Kibaha kwa Mfipa

VIWANJA/NYUMBA vinauzwa Kibaha kwa Mfipa

Ghost.js

Senior Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
188
Reaction score
347
Habari. Nina viwanja vinavyouzwa Kibaha kwa Mfipa jirani na chuo cha Mwalim Nyerere.
Pia zipo nyumba zinazouzwa hapo hapo Kibaha kwa Mfipa.
Unaweza wasiliana nami
 
Viwanja kuanzia ukubwa wa mita 20×20
Bei zinaanzia million 3.5 hadi million 8
Inategemea na eneo kiwanja kilipo
Huduma zote zipo
Barabara ya lami ipo kilomita 2, inaendelea kuwekwa lami
Karibu
0744757738/0784376888
Kuwa makini na huyo mtu,ni tapeli.
 
Mnunue viwanja mjenge siyo mngojee yale ya yule mkurugenzi wa Tanesco.

Jengeni kwanza nyumba zenu , mnawaza kutapeliwa tu, nunua wakikutapeli njoo niko mtaa huu huu.
 
Mnunue viwanja mjenge siyo mngojee yale ya yule mkurugenzi wa Tanesco.

Jengeni kwanza nyumba zenu , mnawaza kutapeliwa tu, nunua wakikutapeli njoo niko mtaa huu huu.
Tutajengewa nyumba yetu ya milele tena haina bugudha kabisa upo mwenyewe na wala hutumii senti tano kujenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom