Viwanja Ilala kwa bei nafuu

Gor

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,791
847
Pata Kiwanja, Sasa viko sehemu Tambarare, Ni 50ft X 40ft, Na bei ni 3 Millions. Eneo ni Chamazi, Karibu nauwanja wa Azam Temeke na Msongola Ilala.

Contacts: 0717 288306
 
Nyumba iko eneo la Keko machungwa nyuma ya kota za Polisi ufundi bei 55mil ina leseni ya makazi ina vyumba 6
 
PATA KIWANJA SASA VIKO SEHEMU TAMBARARE NI 50ft x 40ft NA BEI NI 3MILLION ENEO NI CHAMAZI KARIBU NA UWANJA WA AZAM TEMEKE NA MSONGOLA ILALA. CONTACT NI 0717 288306

Ndugu unatumia vipimo vya ft kuwazuga watu waone kiwanja ni kikubwa au...? Jaribuni kuwa wakweli kwenye biashara kwa nini usiweke kwa mita? Kwa faida ya wana JF 1ft=0.3m kwa hiyo 50ft=15m, 40ft= 12m kwa hiyo kiwanja hiki kina ukubwa wa 15m x 12m maana yake bei ya kiwanja kwa square meter ni 3,000,000/15 x 12= 16,667. Ni wangapi humu wanamudu kununua kiwanja (pengine hakina hati) kwa 16,667? Tuwe na huruma jamani.
 
Ndugu unatumia vipimo vya ft kuwazuga watu waone kiwanja ni kikubwa au...? Jaribuni kuwa wakweli kwenye biashara kwa nini usiweke kwa mita? Kwa faida ya wana JF 1ft=0.3m kwa hiyo 50ft=15m, 40ft= 12m kwa hiyo kiwanja hiki kina ukubwa wa 15m x 12m maana yake bei ya kiwanja kwa square meter ni 3,000,000/15 x 12= 16,667. Ni wangapi humu wanamudu kununua kiwanja (pengine hakina hati) kwa 16,667? Tuwe na huruma jamani.
huyu jamaa ana asili ya wizi na kanjanja fulani... hicho kiwanja hata bafu na choo utapata shida pa kurundika mchanga uliochimbwa. lol
 
huyu jamaa ana asili ya wizi na kanjanja fulani... hicho kiwanja hata bafu na choo utapata shida pa kurundika mchanga uliochimbwa. lol

Kumbe unamfuatilia eeh,hivi kiwanja mita 15 x 12 sijui unajenga nini? halafu anauza karibu 17,000 kwa square mita.Kuna mijitu ina tamaa ya fedha inaweza hata kukuchuna ngozi ili tu ipate fedha kama huyu anayejiita Gor
 
Last edited by a moderator:
Ndugu unatumia vipimo vya ft kuwazuga watu waone kiwanja ni kikubwa au...? Jaribuni kuwa wakweli kwenye biashara kwa nini usiweke kwa mita? Kwa faida ya wana JF 1ft=0.3m kwa hiyo 50ft=15m, 40ft= 12m kwa hiyo kiwanja hiki kina ukubwa wa 15m x 12m maana yake bei ya kiwanja kwa square meter ni 3,000,000/15 x 12= 16,667. Ni wangapi humu wanamudu kununua kiwanja (pengine hakina hati) kwa 16,667? Tuwe na huruma jamani.

Mkuu kama mtu anaweza kulipa TZs 16,000 kwa Square metre kwa kiwanja ambacho hakijapimwa kwanini asiende kununua vilivyopimwa kigamboni kwa TZS 8,000 kwa Square metre? Watu tujitahidi kutafuta taarifa kabla ya kufanya maamuzi. utanunua kibovu kwa gharama ilhali kizuri kipo kwa bei rahisi.

Nenda Mkuranga Mjini utapata kiwanja ekari moja ambayo haijapimwa kwa TZS 1,000,000 kabla ya maongezi. kapimishe mwenyewe ardhi upate viwanja 4 vya square metre 1,000 kila kimoja. Kwa sisi wenye hela nyembamba ni vizuri kuangalia options nyingi kuliko kukurupuka.
 
huyu jamaa ana asili ya wizi na kanjanja fulani... hicho kiwanja hata bafu na choo utapata shida pa kurundika mchanga uliochimbwa. lol
....kiwanja yenye ukubwa kama hicho kariakoo ni 200,000,000/=,na chang'ombe ni 60,000,000/=,na chamazi stand 5,000,000/=.Wewe hauna fedha......mpaka jumapili itakuwa imeshauzwa!.
 
Mkuu kama mtu anaweza kulipa TZs 16,000 kwa Square metre kwa kiwanja ambacho hakijapimwa kwanini asiende kununua vilivyopimwa kigamboni kwa TZS 8,000 kwa Square metre? Watu tujitahidi kutafuta taarifa kabla ya kufanya maamuzi. utanunua kibovu kwa gharama ilhali kizuri kipo kwa bei rahisi.

Nenda Mkuranga Mjini utapata kiwanja ekari moja ambayo haijapimwa kwa TZS 1,000,000 kabla ya maongezi. kapimishe mwenyewe ardhi upate viwanja 4 vya square metre 1,000 kila kimoja. Kwa sisi wenye hela nyembamba ni vizuri kuangalia options nyingi kuliko kukurupuka.

Kwa tabia ya watanzania hasa wasio na uwezo mkubwa hupenda sana mambo ya kienyeji. Kununua vitu bila kufanya uchunguzi wa kutosha na kupata kitu sahihi kwa bei sahihi ni kitu cha kawaida. Ni wachache wana fikra kama ulizo nazo mkuu Tougher matokeo yake ndiyo kukutana na hawa wakina Gor na kuishia kujuta
 
Last edited by a moderator:
....kiwanja yenye ukubwa kama hicho kariakoo ni 200,000,000/=,na chang'ombe ni 60,000,000/=,na chamazi stand 5,000,000/=.Wewe hauna fedha......mpaka jumapili itakuwa imeshauzwa!.
kila la kheri ...ila najua hutauza!
 
....kiwanja yenye ukubwa kama hicho kariakoo ni 200,000,000/=,na chang'ombe ni 60,000,000/=,na chamazi stand 5,000,000/=.Wewe hauna fedha......mpaka jumapili itakuwa imeshauzwa!.

Gor usifananishe thamani ya kiwanja kariakoo na chamazi, kariakoo nanunua kwa madhumuni ya biashara. Nanunua ili nijenge frame zitakazonirudishia hela yangu pamoja na faida kutokana na biashara nitakayofanya. Huyo wa Chamazi ni mnyonge anayetaka kuisitiri familia yake, wewe unakuja na kuamua kumnyonga kwa kuwa tu unanafasi ya kumnyonya. Unakosaje utu kwa binadamu mwenzio? Huoni huo ni wizi wa mchana kweupe?
 
Gor usifananishe thamani ya kiwanja kariakoo na chamazi, kariakoo nanunua kwa madhumuni ya biashara. Nanunua ili nijenge frame zitakazonirudishia hela yangu pamoja na faida kutokana na biashara nitakayofanya. Huyo wa Chamazi ni mnyonge anayetaka kuisitiri familia yake, wewe unakuja na kuamua kumnyonga kwa kuwa tu unanafasi ya kumnyonya. Unakosaje utu kwa binadamu mwenzio? Huoni huo ni wizi wa mchana kweupe?

Mkuu inawezekana labda hamjaelewana na muuzaji, yeye anasema anauza Kiwanja Chenye ukubwa wa 50ft×40 ft kwa bei ya sh 5,000,000/mln
NJuavyoo mimi mfano 30ft kwa 30ft=sqrt 340 hivi,
 
PATA KIWANJA SASA VIKO SEHEMU TAMBARARE NI 50ft x 40ft NA BEI NI 3MILLION ENEO NI CHAMAZI KARIBU NA UWANJA WA AZAM TEMEKE NA MSONGOLA ILALA. CONTACT NI 0717 288306

Mkuu na wewe ungewambia wadau hivi kiwanja ukubwa ni hatua za miguu 50 upana kwa hatua
40 urefu labda ungeeleweka
 
20 M x 20 M = 6,000,000/=

50ft x 40ft = 3,500,000/=

Location; Msongola Ilala that is 5km away from Azam complex

Also we have 50ft x 40ft = 2,500,000/= at another location

Conatc 0717 288306 (OGIRO)
email; okiroogiro@gmail.com
 
Tuna viwanja Msongola vya bei nafuu kwa vipimo vifuatazo

a) 20mita x20mita = 6milion
b) 50futi x 40futi = 3milion

* maji,mchanga ni hapo hapo,bara bara inafika mpaka eneo la kiwanja.

* Contact ;0717 288306
​
 
Wahi upate kiwanja ukitakacho,tuna kila aina na size tofauti ya viwanja kulingana na pesa yako au uwezo wako,bei ni maelewano.
Mawasiliano; 0717 288306.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom