hivi viwanja ni vyako ?
je kama nataka niende na wewe manispaa ili tujue kama havina tatizo au havipo kwenye barabara katika ramani yetu uko tayari twende wote kabla sijanunua?
je ikitokea kuwa kuna matatizo katika hivyo viwanja utanisaidiaje kwa hilo? au nitakuwa tayari nimeshapoteza hela yangu ?
Residencial Plots with various size are on sale at MSONGOLA ILALA DISTRICT.3KM away from Azam complex.The smallest size is 50ft x 40ft and price starting 3m/= and negotiable.
Other size as follow; 20m x 20m = 6m/=and negotiable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.