Viwanja chanika 2.5mil lipa kwa installment

Viwanja chanika 2.5mil lipa kwa installment

mslopagaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
367
Reaction score
36
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20
Kuna nafas ya kulipia kwa installment,unalipia 65% then Hyo 35% unamalizia ndan ya wik 6
0656 698232
 
ukishindwa kulipia kwa hizo wiki 6 hela yako i mean 65
% inarudishwa ? maana unaweza kupata dharura................
 
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20
Kuna nafas ya kulipia kwa installment,unalipia 65% then Hyo 35% unamalizia ndan ya wik 6
0656 698232


Mkuu 20/20 mbona bei sana 2. 5milion, na je anayetaka kulipa kwa mkupuo lump_sum mnasaidiaje kushusha bei?
 
Hivi viwanja vya Chanika vinanivutia vipi hamna utapeli huko.

Hamna utapel wowote

Miguu 20 X 20 Chanika Mjini(Vodete)
Karibu na Barabara.
1.7Km toka Pale Chanika Stand
0.6km toka Barabara ya Lami.

Bei: 5.5M

Umeme Maji Papo hapo.

Pamejengeka Sana.

0715-240140

ImageUploadedByJamiiForums1466579222.718394.jpg

Njoo nkuuzie namba 29 & 30

Unajenga na kuhamia. Maji umeme hapo hapo
 
Hamna utapel wowote

Miguu 20 X 20 Chanika Mjini(Vodete)
Karibu na Barabara.
1.7Km toka Pale Chanika Stand
0.6km toka Barabara ya Lami.

Bei: 5.5M

Umeme Maji Papo hapo.

Pamejengeka Sana.

0715-240140

View attachment 358839
Njoo nkuuzie namba 29 & 30

Unajenga na kuhamia. Maji umeme hapo hapo
Think about double access plot
 
Fafanua Jerhy. Umeniacha.

Naomba Tafusiri "Double Acces"
Yaani namba 29 na 30 vina barabara pande zote mbili, pia
Kiutalamu kiwanja chenye sifa hiyo ni kwa biashara pekee na sio makazi.
 
Yaani namba 29 na 30 vina barabara pande zote mbili,


Ahaaaaaaaaa!

Du! Mm nkafikiria ulitakA kusema Double allocation.

Thanks.

By the way, Uko kimya sana kwenye fAni yako YA ucharaji wa RAMANI.
 
ukishindwa kulipia kwa hizo wiki 6 hela yako i mean 65
% inarudishwa ? maana unaweza kupata dharura................
Mkuu dharura znajulkana so iskupe shida sabb wng tunategemea majaliwa ya Mungu
 
mbona hunijibu? hilo ni swali la msingi atii alaa what if nakufa kabla sijamaliza kulipa familia yangu itarudishiwa pesa au ndo mtanizika na deni lenyewe?
Mkuu dharura znajulkana so iskupe shida sabb wng tunategemea majaliwa ya Mungu
haya biashara njema mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom